Naomba msaada nimepata tatizo la vipele kwenye úume

Sijui kama itakusaidia,,, niliwahi kuteleza Kwa limalaya limoja bila kujua yule mwanamke ni kimbulu,, nadhani baada ya siku Moja nilitokewa na hivyo vipele......niliweka dawa ya fangasi(powder) ikawa Kwisha habari yake na ugonjwa ukatoweka sijawahi kuushuhudia Tena.



Nb. Hiyo njia siwez sema kama itakusaidia kwasabab Mimi sio dokta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…