Naomba msaada,Nitamtambuaje msichana kama alishatoa mimba?

Chuchu za mtu aliyezaa ama kutoa mimba huwa nyeusi tofauti na mng'ao wake wa awali wa pink ama brown inayoendana na rangi yake ya ngozi kwenye titi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Si kwel,uzush
 
Mh, maswali mengine bhana kazi kweli kweli!! Hapa sina hakika kama utapata msaada wowote kutoka kwa akina dada kwani % kubwa ya waliomu humu wameshanyofoa sana.
 
mmmh!kwa huo mstar mweuc bado cjaamini kwan mbona mdogo wang ndo kwanza anamiaka 2 anao au nae kaabort.
 
Wewe ukimkamua matiti yake sehemu ya chuchu na yakitoa maji maji kama maziwa halafu yatoke mengi mengi kila unapobinya, ujue tayari kazi kwishney
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…