Naomba msaada wa jina la biashara hii

Naomba msaada wa jina la biashara hii

BL4

Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
69
Reaction score
27
Nahitaji kufungua mgahawa, ambao utatoa huduma zifuatazo:

1. Juice fresh ya matunda, na ya miwa
2. Chipsi, na ndizi za kuchoma.
3. Mishaki na nyama ya kuchoma.
4. Supu ya samaki, mbuzi,maharagwe, ng'ombe ,kuku.
5. Chakula kama Ugali, Ndizi, Wali, NK.
6. Chai, na vitafunwa vyake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji kufungua mgahawa, ambao utatoa huduma zifuatazo:

1. Juice fresh ya matunda, na ya miwa
2. Chipsi, na ndizi za kuchoma.
3. Mishaki na nyama ya kuchoma.
4. Supu ya samaki, mbuzi,maharagwe, ng'ombe ,kuku.
5. Chakula kama Ugali, Ndizi, Wali, NK.
6. Chai, na vitafunwa vyake.


Sent using Jamii Forums mobile app


B4L Enterprises ltd
 
Nahitaji kufungua mgahawa, ambao utatoa huduma zifuatazo:

1. Juice fresh ya matunda, na ya miwa
2. Chipsi, na ndizi za kuchoma.
3. Mishaki na nyama ya kuchoma.
4. Supu ya samaki, mbuzi,maharagwe, ng'ombe ,kuku.
5. Chakula kama Ugali, Ndizi, Wali, NK.
6. Chai, na vitafunwa vyake.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama location iko vizuri,utapiga pesa ya kutosha
 
Nahitaji kufungua mgahawa, ambao utatoa huduma zifuatazo:

1. Juice fresh ya matunda, na ya miwa
2. Chipsi, na ndizi za kuchoma.
3. Mishaki na nyama ya kuchoma.
4. Supu ya samaki, mbuzi,maharagwe, ng'ombe ,kuku.
5. Chakula kama Ugali, Ndizi, Wali, NK.
6. Chai, na vitafunwa vyake.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugai Vs CAG fast food
 
Tiba ya njaa fast and fresh foodies


If it isn’t perfect ,it’s not good enough
 
Back
Top Bottom