kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,796
Haya matunda nilibahatika kuyala nikiwa mdogo na wakati huo sikufanikiwa kujua hata yalikuwa yanaitwaje ila ninacho fahamu ni kwamba yana ladha nzuri sana ya utamu ambayo hauwezi kufananisha na matunda mengine.
Msaada wenu wakuu, nahitaji kupanda miti yake, ikiwezekana hata minne.
Natanguliza shukrani.
koboG Mshana Jr Mr IQ DullyJr Darmian Numbisa Smart Guy Tanayzer
Msaada wenu wakuu, nahitaji kupanda miti yake, ikiwezekana hata minne.
Natanguliza shukrani.
koboG Mshana Jr Mr IQ DullyJr Darmian Numbisa Smart Guy Tanayzer