Andika ukiwa umefumbaNikifumba macho jina linakuja nikifumbua ili niandike jina linapotea.
Arusha yamejaa tele
napata wapi hapa tz mti wa haya matunda
KomamangaNikifumba macho jina linakuja nikifumbua ili niandike jina linapotea.
It has also become naturalised in Georgia, Armenia, Afghanistan, Australia, Azerbaijan, Bermuda, Chile, Kenya, India, Israel, Iran, Iraq, South Africa, the whole Mediterranean Basin, Pakistan, New Zealand, Réunion, Tonga, Central America, Mexico, South America and in warmer parts of the United States (Hawaii, California, Texas, Louisiana, Mississippi, Alabama, Florida, Georgia, and South Carolina)Loquat
kudosIt has also become naturalised in Georgia, Armenia, Afghanistan, Australia, Azerbaijan, Bermuda, Chile, Kenya, India, Israel, Iran, Iraq, South Africa, the whole Mediterranean Basin, Pakistan, New Zealand, Réunion, Tonga, Central America, Mexico, South America and in warmer parts of the United States (Hawaii, California, Texas, Louisiana, Mississippi, Alabama, Florida, Georgia, and South Carolina)
Jaribu kuulizia huko kwa majirani upate mbegu au miche kwa information kuhusu cultivation cheki hio link
Sijui upo sehemu gani hapa Tz,ila mbegu zake zinaota kirahisi tu zipo kwenye tunda lenyewe.mbegu yake kwa ujili ya kupanda naipataje
[emoji23][emoji23] fumba utuandikie mkuuNikifumba macho jina linakuja nikifumbua ili niandike jina linapotea.
[emoji848][emoji23][emoji23] fumba utuandikie mkuu
Haya yanapatikana kwenye milima na sehemu za baridi .. Lushoto yako kwa wingi sana nikibatika kupata mtu anayekuja mjini nitamuomba anibebee mbeguHaya matunda nilibahatika kuyala nikiwa mdogo na wakati huo sikufanikiwa kujua hata yalikuwa yanaitwaje ila ninacho fahamu ni kwamba yana ladha nzuri sana ya utamu ambayo hauwezi kufananisha na matunda mengine.
Msaada wenu wakuu, nahitaji kupanda miti yake, ikiwezekana hata minne.
Natanguliza shukrani
koboG Mshana Jr Mr IQ DullyJr Darmian Numbisa Smart Guy Tanayzer