Naomba msaada wa jina la haya matunda na upatikanaji wa mimea yake kwa ajili ya kupanda

ukipata mbegu usinisahau na mimi mkuu
 
Hahahah huko Moshi tunaziita tangawizi miche yake imejaa kibao meyala sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…