Naomba msaada wa kiasi chochote cha fedha niweze kujikimu kwa muda nitafutao ajira

Naomba msaada wa kiasi chochote cha fedha niweze kujikimu kwa muda nitafutao ajira

nini sasa si umemtuma mwenyewe? akikolea lazima arudi kwako msaidie nani kakwambia mshenga lazima awe mwanaume? umemtuma akamtoe mtu kwenye tope unafikiri nani atamrushia kamba we ngoja tuone mchezo unavyokwenda utaniambia ndo utajua nokia ya kitochi yafaa kwa daktari
Ninavyommendea Nokia83 siwezi kuwa mshenga wake, roho itaniuma sana.
 
Mshenga???? Hapana aisee
nini sasa si umemtuma mwenyewe? akikolea lazima arudi kwako msaidie nani kakwambia mshenga lazima awe mwanaume? umemtuma akamtoe mtu kwenye tope unafikiri nani atamrushia kamba we ngoja tuone mchezo unavyokwenda utaniambia ndo utajua nokia ya kitochi yafaa kwa daktari
 
Ninavyommendea Nokia83 siwezi kuwa mshenga wake, roho itaniuma sana.
lazima ukimbinzwe na dogo anaingia mazima bila kuogopa mto una mamba wako pm fullshagwe na muda washabadilishana simu wewe baki tu hapa wakubebishe wao wanafanya yao!
 
lazima ukimbinzwe na dogo anaingia mazima bila kuogopa mto una mamba wako pm fullshagwe na muda washabadilishana simu wewe baki tu hapa wakubebishe wao wanafanya yao!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] sawa tu lakini, najua atarudi hataenda mazima.
 
Rais alisema kufika mwezi wa 6 2017 bado upo mjini bac ww mwanaume. Umengangania mjini mpaka sasa unajifanya kidume. Wenzio tupo vjijini huku tunalima bamia na mvua imetubust kwelikweli. Mi nimekuonea huruma ila naona kma hujajionea huruma mwenyewe.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] sawa tu lakini, najua atarudi hataenda mazima.
we! huko harudi ushaambiwa dogo yuko mbeya unawajua watoto wambeya walivyo? kwanza wanakula vyakula fresh vingi vinatoka shambani mojakwa moja ngozi zao laini na nyororo wanapiga goti kupita kiasi! kitachomrudisha kwako siku atakapo toa 50,0000 akiambiwa na lorry lazima atoke nduki! sasa akirudi ujipange vizuri asipuruchuke
 
we! huko harudi ushaambiwa dogo yuko mbeya unawajua watoto wambeya walivyo? kwanza wanakula vyakula fresh vingi vinatoka shambani mojakwa moja ngozi zao laini na nyororo wanapiga goti kupita kiasi! kitachomrudisha kwako siku atakapo toa 50,0000 akiambiwa na lorry lazima atoke nduki! sasa akirudi ujipange vizuri asipuruchuke
Acha kunirusha roho, vibaya hivyo!
 
Acha kunirusha roho, vibaya hivyo!
tehee.....tee...tehee..... nakushauri hamia kwa babu aprin atatutliza maumivu yako ana mkwanja wa kustaafu anatumia na bibi shamba lakini nokia hesabu maumivu huko bize kupita kiasi na kambi mpya ya upinzani yaani ni kama ndo ameanza leo yuko kasi zaidi ya mwanga
 
tehee.....tee...tehee..... nakushauri hamia kwa babu aprin atatutliza maumivu yako ana mkwanja wa kustaafu anatumia na bibi shamba lakini nokia hesabu maumivu huko bize kupita kiasi na kambi mpya ya upinzani yaani ni kama ndo ameanza leo yuko kasi zaidi ya mwanga
Aku! Simtaki mwingine!
 
Mungu akufanyie wepesi ndugu ila jitahidi kufanya chochote huko uliko utatoka tu usitegemee mikono mingine tegemea mikono yako itakubarikia
Ahsante sana Dada,napambana basi ni hali hivi karibuni imeniendea vibaya
 
Unashauriwa ufanyiwe mpango wa kazi unadai kibarua unacho ila ofisi imefungwa kwa muda. Sasa kwa nini usikubali utafutiwe kazi kuliko kusubiri kazi ambayo haina uhakika?
Sijakataa kazi ndugu yangu,Mimi nadeal na mambo ya fashion na urembo(makeup artist) ila kwa hapa Nilikuwa nipo katika duka la ndugu tu,japo kafunga kweli kwa muda,alikuwa na matatizo kiasi
 
Pole sana ungeomba hata kusaidiwa hela ya kabiashara hata kutembeza matunda au biashara yoyote ndogo Mungu akusaidie hitaji lako utasaidiwa leo ya kula kesho ukiamka unatakiwa hela nyingine ya kujikimu
Basi msaidiee
 
Kama ofisi imefungwa kwa muda, nibora ungeuza hiyo sim ili uweze kujikimu kwa muda wakati unasubiria huo muda wa ofisi kufunguliwa na wakatihuo unatafuta kibarua sehem yeyote ili upate kujikimu kwa muda.
Zaidi ya hapo naona kama unajiweka hatarini kunaswa na wanaume wanaume wenye tamaa ya kukufanya kwakua wanajua unashida.
Samahani kwa ushauri wangu mbaya/mchungu, lakini huo ndio ukweli
Sawa nimeelewa kaka,ntazidisha tu umakini lakini Si vyema kuuza simu
 
Za leo ndugu zangu,

Naitwa Thandiwe, ni mkazi wa Dar lakini kwa sasa nipo mkoani. Kiukweli hali ya maisha imekuwa ngumu hatukatai ndugu zangu hasa sisi tuliopo mikoani kwa sasa ila kiukweli, kuna wengine tunashindwa jihusisha na mambo yasiyo na maadili ili kujipatia kipato, kwani ninaamini kheri kuomba msaada unapokwama kuliko kujificha na kufa na njaa.

Ombi langu kwenu wenzangu, msaada wa kiasi chochote cha pesa ili kusukuma siku wakati nikiendelea kufuatilia ajira. Kwa yeyote atakaeguswa nipo tayari kuweka mawasiliano yangu PM ili kujieleza zaidi.

Mungu awabariki wote watafutaji.
kama we ni ke nipm
 
Huwa mnuatuponda wanaume wa Dar, haya sasa wale Njemba wa Mikoani dada yenu huyo anamba hifadhi...!
 
Za leo ndugu zangu,

Naitwa Thandiwe, ni mkazi wa Dar lakini kwa sasa nipo mkoani. Kiukweli hali ya maisha imekuwa ngumu hatukatai ndugu zangu hasa sisi tuliopo mikoani kwa sasa ila kiukweli, kuna wengine tunashindwa jihusisha na mambo yasiyo na maadili ili kujipatia kipato, kwani ninaamini kheri kuomba msaada unapokwama kuliko kujificha na kufa na njaa.

Ombi langu kwenu wenzangu, msaada wa kiasi chochote cha pesa ili kusukuma siku wakati nikiendelea kufuatilia ajira. Kwa yeyote atakaeguswa nipo tayari kuweka mawasiliano yangu PM ili kujieleza zaidi.

Mungu awabariki wote watafutaji.
Kwa huu uzi naona dalili zote za papuchi kuwaka moto[emoji39] [emoji40]
 
Na hapo ndipo ninapo pata mashaka hata akili yangu inaanza kuhisi huyu ni Me.
"I'm sorry mleta mada, huo ni mtazamo wangu"
Kuaminiana kweli ni kazi ila kama una ndugu yako hapa mbeya naweza meet nae kuthibitisha kweli Nina changamoto kama binadamu wengine wanaopitia magumu
 
Back
Top Bottom