Ninavyommendea Nokia83 siwezi kuwa mshenga wake, roho itaniuma sana.nini sasa si umemtuma mwenyewe? akikolea lazima arudi kwako msaidie nani kakwambia mshenga lazima awe mwanaume? umemtuma akamtoe mtu kwenye tope unafikiri nani atamrushia kamba we ngoja tuone mchezo unavyokwenda utaniambia ndo utajua nokia ya kitochi yafaa kwa daktari
nini sasa si umemtuma mwenyewe? akikolea lazima arudi kwako msaidie nani kakwambia mshenga lazima awe mwanaume? umemtuma akamtoe mtu kwenye tope unafikiri nani atamrushia kamba we ngoja tuone mchezo unavyokwenda utaniambia ndo utajua nokia ya kitochi yafaa kwa daktariMshenga???? Hapana aisee
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] sawa tu lakini, najua atarudi hataenda mazima.lazima ukimbinzwe na dogo anaingia mazima bila kuogopa mto una mamba wako pm fullshagwe na muda washabadilishana simu wewe baki tu hapa wakubebishe wao wanafanya yao!
we! huko harudi ushaambiwa dogo yuko mbeya unawajua watoto wambeya walivyo? kwanza wanakula vyakula fresh vingi vinatoka shambani mojakwa moja ngozi zao laini na nyororo wanapiga goti kupita kiasi! kitachomrudisha kwako siku atakapo toa 50,0000 akiambiwa na lorry lazima atoke nduki! sasa akirudi ujipange vizuri asipuruchuke[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] sawa tu lakini, najua atarudi hataenda mazima.
Acha kunirusha roho, vibaya hivyo!we! huko harudi ushaambiwa dogo yuko mbeya unawajua watoto wambeya walivyo? kwanza wanakula vyakula fresh vingi vinatoka shambani mojakwa moja ngozi zao laini na nyororo wanapiga goti kupita kiasi! kitachomrudisha kwako siku atakapo toa 50,0000 akiambiwa na lorry lazima atoke nduki! sasa akirudi ujipange vizuri asipuruchuke
Naona hapa kuna dalili ya mtu kutumia fursaMm nipo dsm...subiri nione jinsi gani naweza saidia
tehee.....tee...tehee..... nakushauri hamia kwa babu aprin atatutliza maumivu yako ana mkwanja wa kustaafu anatumia na bibi shamba lakini nokia hesabu maumivu huko bize kupita kiasi na kambi mpya ya upinzani yaani ni kama ndo ameanza leo yuko kasi zaidi ya mwangaAcha kunirusha roho, vibaya hivyo!
Aku! Simtaki mwingine!tehee.....tee...tehee..... nakushauri hamia kwa babu aprin atatutliza maumivu yako ana mkwanja wa kustaafu anatumia na bibi shamba lakini nokia hesabu maumivu huko bize kupita kiasi na kambi mpya ya upinzani yaani ni kama ndo ameanza leo yuko kasi zaidi ya mwanga
Sijakataa kazi ndugu yangu,Mimi nadeal na mambo ya fashion na urembo(makeup artist) ila kwa hapa Nilikuwa nipo katika duka la ndugu tu,japo kafunga kweli kwa muda,alikuwa na matatizo kiasiUnashauriwa ufanyiwe mpango wa kazi unadai kibarua unacho ila ofisi imefungwa kwa muda. Sasa kwa nini usikubali utafutiwe kazi kuliko kusubiri kazi ambayo haina uhakika?
Basi msaidieePole sana ungeomba hata kusaidiwa hela ya kabiashara hata kutembeza matunda au biashara yoyote ndogo Mungu akusaidie hitaji lako utasaidiwa leo ya kula kesho ukiamka unatakiwa hela nyingine ya kujikimu
teh... teh.... mvua hizi unahitaji japo mwamvuli mchukue asprin akuvushe mnyenyekevu kuliko sukari kwenye chaiAku! Simtaki mwingine!
Sawa nimeelewa kaka,ntazidisha tu umakini lakini Si vyema kuuza simuKama ofisi imefungwa kwa muda, nibora ungeuza hiyo sim ili uweze kujikimu kwa muda wakati unasubiria huo muda wa ofisi kufunguliwa na wakatihuo unatafuta kibarua sehem yeyote ili upate kujikimu kwa muda.
Zaidi ya hapo naona kama unajiweka hatarini kunaswa na wanaume wanaume wenye tamaa ya kukufanya kwakua wanajua unashida.
Samahani kwa ushauri wangu mbaya/mchungu, lakini huo ndio ukweli
kama we ni ke nipmZa leo ndugu zangu,
Naitwa Thandiwe, ni mkazi wa Dar lakini kwa sasa nipo mkoani. Kiukweli hali ya maisha imekuwa ngumu hatukatai ndugu zangu hasa sisi tuliopo mikoani kwa sasa ila kiukweli, kuna wengine tunashindwa jihusisha na mambo yasiyo na maadili ili kujipatia kipato, kwani ninaamini kheri kuomba msaada unapokwama kuliko kujificha na kufa na njaa.
Ombi langu kwenu wenzangu, msaada wa kiasi chochote cha pesa ili kusukuma siku wakati nikiendelea kufuatilia ajira. Kwa yeyote atakaeguswa nipo tayari kuweka mawasiliano yangu PM ili kujieleza zaidi.
Mungu awabariki wote watafutaji.
dogo bado upo pm rudi hueleweki ulitumwa tu ukasaidie sasa umepiga kambiNikamsaidie nn
Kwa huu uzi naona dalili zote za papuchi kuwaka moto[emoji39] [emoji40]Za leo ndugu zangu,
Naitwa Thandiwe, ni mkazi wa Dar lakini kwa sasa nipo mkoani. Kiukweli hali ya maisha imekuwa ngumu hatukatai ndugu zangu hasa sisi tuliopo mikoani kwa sasa ila kiukweli, kuna wengine tunashindwa jihusisha na mambo yasiyo na maadili ili kujipatia kipato, kwani ninaamini kheri kuomba msaada unapokwama kuliko kujificha na kufa na njaa.
Ombi langu kwenu wenzangu, msaada wa kiasi chochote cha pesa ili kusukuma siku wakati nikiendelea kufuatilia ajira. Kwa yeyote atakaeguswa nipo tayari kuweka mawasiliano yangu PM ili kujieleza zaidi.
Mungu awabariki wote watafutaji.
Kuaminiana kweli ni kazi ila kama una ndugu yako hapa mbeya naweza meet nae kuthibitisha kweli Nina changamoto kama binadamu wengine wanaopitia magumuNa hapo ndipo ninapo pata mashaka hata akili yangu inaanza kuhisi huyu ni Me.
"I'm sorry mleta mada, huo ni mtazamo wangu"