paul mahinga
Member
- Jan 16, 2018
- 32
- 32
Yap fanya hivyoKweli nataka moyo Dada,ila nadhani kuna kazi zingine zinazoendana na hizo ambazo hazikufanyi thamani yako ishuke,kama kutengenezea nyumbani chakula au vitafunwa na kudeliver maofisini
Ahsante kaka Paul, nimegundua kila mtu huchukulia matatizo ya mwingine kwa namna yake lakini,busara tu au ushauri unaweza kunijengandugu zangu wana JF mtu anapoomba msaada kama huna kitu cha kumpa au kumsauli ni vyema ukakaa kimya kabisa kuliko kumkejeri na kumtusi matusi ya rejareja.
hakuna aliyeingia mkataba na Mungu awe na maisha mazuri mpaka anakufa ugumu wa maisha hutokea kwa yeyote ikiwa wewe Mungu kakuwezesha kuwa na maisha mazuri shukuru lakin siyo kuona wasionacho hawana akili wewe unaakili sana.
kwa wale ambao wamepitia ugumu wa maisha na sasa Mungu amewasaidia wanamaisha mazuri nadhani wanajua, hakuna anayeomba awe na maisha magumu.
Huna msaada kaa kimya.
Za leo ndugu zangu,
Naitwa Thandiwe, ni mkazi wa Dar lakini kwa sasa nipo mkoani. Kiukweli hali ya maisha imekuwa ngumu hatukatai ndugu zangu hasa sisi tuliopo mikoani kwa sasa ila kiukweli, kuna wengine tunashindwa jihusisha na mambo yasiyo na maadili ili kujipatia kipato, kwani ninaamini kheri kuomba msaada unapokwama kuliko kujificha na kufa na njaa.
Ombi langu kwenu wenzangu, msaada wa kiasi chochote cha pesa ili kusukuma siku wakati nikiendelea kufuatilia ajira. Kwa yeyote atakaeguswa nipo tayari kuweka mawasiliano yangu PM ili kujieleza zaidi.
Mungu awabariki wote watafutaji.[/QUOT
Mungu atakusaidia
sawa, kama una bank account si mbaya ukatuandikia hapa.Maswali yananijenga pia,sijfikiria kujihusisha n mahusiano kwa hivi karibu ni,kwani natamani kujiinua kwanza walau niwe na shughuli yangu itakayokidhi nahitaji japo najua umri unaenda
Kuna mkaka mmoja nilimpenda sana yeye yupo Tabora alianza na mtaji wa sh 8000 anaamka asubuhi anaenda machinjioni ananunua kichwa cha ng'ombe kimoja anawapa watu wanamchalangia kwa sh 500 then anazipanga zile nyama kwenye mafungu ya bei ya 2000 na mafungu ya bei ya 1000 anaingia mtaani nyumba kwa nyumba anasema kichwa kimoja cha sh 8000 kinampa faida ya sh 6000 kwa siku wakati mwingine mpaka saa saba mzigo unakuwa umeisha saiz ananunua vichwa viwili kwahiyo faida yake kwa siku ni 11,000.Ahsante kaka Paul, nimegundua kila mtu huchukulia matatizo ya mwingine kwa namna yake lakini,busara tu au ushauri unaweza kunijenga
Kwahiyo dada kama ni biashara si lazima utafute mtaji wa malaki kadhaa hata mtaji mdogo anza nao taratibu simamia vizuri mradi wako taratibu utakuza mtaji halafu utaenda kwenye mtaji mkubwa.Ahsante kaka Paul,hakika yeye ni Mwingi wa rehema..
Naamini katika kuinuka toka chini kaka hivyo sibagui wapi pa kuanziaKwahiyo dada kama ni biashara si lazima utafute mtaji wa malaki kadhaa hata mtaji mdogo anza nao taratibu simamia vizuri mradi wako taratibu utakuza mtaji halafu utaenda kwenye mtaji mkubwa.
kuanza na mtaji mdogo pia inakusaidia kuwa na uchungu wa mali yako na kuitunza vizuri.
Kwahiyo ntakutumiaje pesaToka nimetoka dar nimeacha kutumia Tigo, kwa sasa natumia vodacom,maana nilikua kugundua mikoani karibia kila mtu anatumia vodacom