paul mahinga
Member
- Jan 16, 2018
- 32
- 32
ndugu zangu wana JF mtu anapoomba msaada kama huna kitu cha kumpa au kumsauli ni vyema ukakaa kimya kabisa kuliko kumkejeri na kumtusi matusi ya rejareja.
hakuna aliyeingia mkataba na Mungu awe na maisha mazuri mpaka anakufa ugumu wa maisha hutokea kwa yeyote ikiwa wewe Mungu kakuwezesha kuwa na maisha mazuri shukuru lakin siyo kuona wasionacho hawana akili wewe unaakili sana.
kwa wale ambao wamepitia ugumu wa maisha na sasa Mungu amewasaidia wanamaisha mazuri nadhani wanajua, hakuna anayeomba awe na maisha magumu.
Huna msaada kaa kimya.
hakuna aliyeingia mkataba na Mungu awe na maisha mazuri mpaka anakufa ugumu wa maisha hutokea kwa yeyote ikiwa wewe Mungu kakuwezesha kuwa na maisha mazuri shukuru lakin siyo kuona wasionacho hawana akili wewe unaakili sana.
kwa wale ambao wamepitia ugumu wa maisha na sasa Mungu amewasaidia wanamaisha mazuri nadhani wanajua, hakuna anayeomba awe na maisha magumu.
Huna msaada kaa kimya.