Naomba msaada wa kifedha nilipie pango. Mwenye nyumba kaja kutoa vitu

Unatokwa na povu kana kwamba mtoa mada ndiye kiumbe pekee mwenye shida hapa nchini! Si umsaidie?

Maneno mengi ya kejeli ya nini sasa! Ujuaji mwingi, kumbe bongotole tu.
 
Huu ndiyo utu tunaouhimiza kila siku.
 
Mwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiizukuru Mgikuru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata hivyo, pia Ni lazima uende na evidences, kwamba unashida na Kodi na kwamba wewe Ni mwanafunzi, eg barua toka serikali ya mtaa unapokaa wewe. Vinginevyo watu hawasaidii kwakuwa matapeli Ni wengi.
 
Tafuta vyumba vya uwezo wako...mwenzio natamani kupanga nyumba ya 500000 kwa mwez ila uwezo wangu umeishia 100000 kwa mwez
 
Kijana wangu hili jina unalikubali sana
 
Hata hivyo, pia Ni lazima uende na evidences, kwamba unashida na Kodi na kwamba wewe Ni mwanafunzi, eg barua toka serikali ya mtaa unapokaa wewe. Vinginevyo watu hawasaidii kwakuwa matapeli Ni wengi.
Kabisa
 
Tafuta vyumba vya uwezo wako...mwenzio natamani kupanga nyumba ya 500000 kwa mwez ila uwezo wangu umeishia 100000 kwa mwez
Hata hiyo laki ni kubwa, tafuta cha 30K kwa mwezi.
 
Ndio nimetokea familia bora kimaadili
Kabisa, si uongo. Hongera! Mwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii zukuru Mgikuru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dodoma nzima hakuna vyumba bei chini ya hapo? Ushauri wangu,Ishi kwa hali uliyonayo Tafuta kwingine hama,kwa sababu we bado unatafuta kubaliana na kila hali ili mradi usome tu.
Unaijua DODOMA wewe?kule kuna gharama
 
sisi wazungu wa kwa mpalange hatuchomwi moto ,ni waisrael tunaingia paradise free(taifa teule).

Waafrika mjiandae kisaikolojia mioto miwili mpaka maji mseme mmmai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…