Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Basi tu![emoji23]Tumefanya nn tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tu![emoji23]Tumefanya nn tena
Maneno mabaya dhidi yako? Walikuwa mboga saba ila ulijisomesha kwa vibarua ina maana walikutelekeza au wewe ulikuwa mtukutu na hukuwa na adabu?Huo ndiyo uhalisia mimi wazazi wangu walikuwa na nafasi wakawa wanaishi maisha ya mboga saba nimesoma kwa vibarua hadi chuo kikuu hata mahari ya kuoa nilitoa mwenyewe kwa sasa nawaangalia tu siyo jukumu langu kuwalea wadogo zangu na wao,misaada yangu naelekeza kwa maskini na wanangu,wamesema maneno mabaya dhidi yangu lakini Mungu ananisimamia kwani sina deni nao!!
Apambane
Na ya kutoleaMbona 250,000/= haigawanyiki kirahisi kwa sh.40,000/=?
Hiyo 250,000 =/ ni miezi mingapi?
😅😅toa jina la mwenye nyumba tumuhoji kisayansi kujiridhisha
View attachment 2207799
dogo anabeti sana, dau la chini ni elfu tano😅😅😅
***** mi mcheza kamari siwez mpa hela yangu hivi hivi
View attachment 2207800
mikeka itakuua acha hizi mambo kaa usome😓😓😓
View attachment 2207801
unateketeza elfu 20 hivi hivi wakati unasoma na unadaiwa gharama mbalimbali za maisha
Hutakiwi kumuonea huruma mzazi wako. Maana hili ni jukumu lake kukusomesha na kukulea mpaka pale utakapo jitegemea!
Wewe muongezee tu mawazo ili akili imkae sawa.
Ifikie wakati tuishi maisha kama ya Wazungu. Haya masuala ya kufyatua tu, halafu watoto wanakuja kuteseka na kusumbua watu wengine hayana tija hata kidogo.
Samahani sana mtoto/mdogo wangu [emoji120] kama nitakukwaza kwa haya maneno yangu.
....tafuta sehemu uhame. Mahalia ambako una kilo Moja unusu lakini mwenye nyumba anaotaka kutolea vyombo Kwa kukosa Kilo, Sio Mahalia pa kuishi.....!Dodoma nzima hakuna vyumba bei chini ya hapo? Ushauri wangu,Ishi kwa hali uliyonayo Tafuta kwingine hama,kwa sababu we bado unatafuta kubaliana na kila hali ili mradi usome tu.
Huyu jamaa yupo Chuo ila ndiyo hajitambui that much!
Anataka hela za wanaJF akachanie mikeka.
Uduwanzi mtupu!
-Kaveli-
Uzunguni tena!? Hahaaaa... wenyewe tupo hapa capital tunamalizia siku.Just like that unaweka namba na unategemea utumiwe pesa!unafikiri sisi ni wajomba zako?kuwa serious jamaa!!
Hiyo pesa unaweza ukapewa na mtu hata balabalani,lakini lazima uonyeshe uaminifu,hapa kwenye mtandao sio njia nzuri,Bora ungejirekodi watu wakuone kama unashida kweli,au kagonge hodi kwenye geti la mtu hapo uzunguni dodoma,
Sawa.Mkipata uwa mnaona waliokosa ni wazembe.
"KUKAUKIWA KUPO"
Kubwa sana hiyo kwa wanafunzi acheni anasa vijana ukute ndani ana hadi sofa nkSiyo 150000 , Yeye tayari ana hiyo bado 100000 maana Ake anadaiwa Kodi ya sh 250000
Baada ya kuona hizi screenshots zinazomuhusu, nimegundua kijana kashakuwa addicted na kubet, itamchukua muda kupunguza au kuacha kabisa.View attachment 2207823betting ni addiction mbaya sana.
haina tofauti na madawa ya kulevya.
View attachment 2207823
dogo ubadilike, matumizi yako ya pesa unayaelekeza kubaya sana.
gamble responsibly. Mimi mwenyewe nabeti sana tu lakini sina ujinga wa.kubeti mpaka nikashindwa kulipa kodi wala kuiathiri familia