[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuwa makini hii ni Jeiefuuu.Amenishtua mnooo yaan, huyu JF kajiunga akiwa primary? Maan mwaka huo walio chuo wengi hasa Degree sahiv, walikua std 7. hebu atueleze vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pedeshee ndama upooo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuwa makini hii ni Jeiefuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] yaan wee acha tyuuh.[emoji23][emoji23]shangaa na ww kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeh sana.Labda alirisit mara 7 mfululizo.
Kwa maana hiyo jamaa hakosi 35+ years old.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hapa issue ilipofikia namshauri kijana achukue laki na nusu aliyonayo akabeti, hadi asubuhi ana mamilioni.
Teh tehNawashauri mlipe kodi direct kwa mwenye nyumba.
Dogo anashindwa jukwaa la kamari toka mwaka 2019...
View attachment 2207785View attachment 2207786View attachment 2207787
Kwa nini wawe na watoto wengi kama maisha yao bahati mbaya hayakuwa mazuri?Hapo mimi natofautiana na wewe, mimi mzazi wangu baada ya kunisomesha kwa shida mpaka nikamaluza form six kiukweli niliachana naye ili awasaidie ndugu zangu wengine maana tulikuwa wengi. Nikaanza kujiongeza mwenyewe mpaka kufanya vibarua na kuuza sokoni ili kupata mahitaji yangu ya chuo na mengineyo. Wazazi wetu walio wengi huwa hawapendi watoto wao wataabike hapa duniani tatizo ni maisha tuu kuwapiga, au mambo kutoenda kama walivyopanga.
Huna flat uweke bondTutajuaje kama kweli wewe ni mwanafunzi wa hicho chuo cha afya mwenye uhitaji na siyo tapeli tu anaetaka msaada kwaajli ya anasa zake?
Kwa nini wawe na watoto wengi kama maisha yao bahati mbaya hayakuwa mazuri?
Ushauri mbadala hiyo simu unayotumia kuchart huku mbona ingetosha kumaliza tatizo la Tsh laki Moja, na baadae ukafanya mipango ya kupata simu nyingine? Kuomba ni utumwa, waweza kulipa fadhila iumizayo moyo wakoHabar wa wakuu, heri ya mei mosi.
Mi nimekuja hapa kuomba msaada wenu , ninaashida ya shs 100,000/= , nikiasi cha pesa kilicho pungua kwenye kodi ya chumba nacho kaa, maana leo mwenye nyumba kajakutaka kutoa vitu vyangu , nikamwomba anivumilie mpaka kesho asubuh ili nimtafutie pesa yake
Ni mwanafunz wa chuo cha afya hapa Dodoma, nimejaribu kupambania kupata hela ya kulipa kodi nimepata nusu ya deni ninakiasi cha tshs 150000, bado hiyo laki moja,
Kwa upande wa mzazi kwa sasa siwezi mtegemea maana ameyumba kiuchumi, hata kumwelezea shida zangu naona ni kumwongezea mawazo tu, naomben msaada wenu tafadhali
Natumain hapa JF naweza pata msaada, natanguliza shukran zangu za dhati kwenu
Kwa chochote kile mawasiliano
0655680282
Uza hiyo simu unayotumia kuingilia humu, maliza issue ya chumba then nunua kitochi maisha yaendelee. Yaweza kukuudhi lakini yakakusaidia.Habar wa wakuu, heri ya mei mosi.
Mi nimekuja hapa kuomba msaada wenu , ninaashida ya shs 100,000/= , nikiasi cha pesa kilicho pungua kwenye kodi ya chumba nacho kaa, maana leo mwenye nyumba kajakutaka kutoa vitu vyangu , nikamwomba anivumilie mpaka kesho asubuh ili nimtafutie pesa yake
Ni mwanafunz wa chuo cha afya hapa Dodoma, nimejaribu kupambania kupata hela ya kulipa kodi nimepata nusu ya deni ninakiasi cha tshs 150000, bado hiyo laki moja,
Kwa upande wa mzazi kwa sasa siwezi mtegemea maana ameyumba kiuchumi, hata kumwelezea shida zangu naona ni kumwongezea mawazo tu, naomben msaada wenu tafadhali
Natumain hapa JF naweza pata msaada, natanguliza shukran zangu za dhati kwenu
Kwa chochote kile mawasiliano
0655680282
Ndio maana yake!’Kwa hiyo anatafuta pesa akasuke Mkeka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134][emoji134]
Hata hiyo 30 nyingi tafuta cha 15...Hata hiyo laki ni kubwa, tafuta cha 30K kwa mwezi.
Mzee kutoa ni Moyo,toa tu kwa imani utabarikiwa.Tutajuaje kama kweli wewe ni mwanafunzi wa hicho chuo cha afya mwenye uhitaji na siyo tapeli tu anaetaka msaada kwaajli ya anasa zake?