Wamekupa suluhisho jepesi wadau kwamba jifanye mjinga maisha yaendelee kwa kukubali ndoa kisha dogo hata anasafiri anamtelekeza hapo anaenda kusaka maisha, siku zikisonga anajifungua mtoto anatoka sio copy (kama kweli hajampa hiyo mimba) anamlima talaka mchezo umeisha dogo anaoa yule amtakaye.
Ila ww inaonekana unaleta kaubabe ka kutaka kesi, wakikaa vizuri hao unaowadharau dogo anakula mvua 30 kiulani tu na nyie mliokuwa mnataka kesi mnaanza kulaumiana na kurudi kuomba upande mwingine msamaha muyamalize na inakuwa too late.
Umekaa unasema tu huyo binti kicheche kicheche,
Shauri yako,
Kuna dogo alizingua ka issue za kiujana kiutani utani hivi tukachukulia masihara na dharau kama zako hivi,
Gues what?
Alikula mvua 30 na baada ya hapo zikatakiwa hela mingi sana kila mtu akaona ni mzigo basi watu full kuzimiana simu.
Anaendelea na mvua yke