Ndugu yangu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 676
- 359
Wana Jf habari za jumapili?
Kwanza kabisa naanza kwa kutoa pongezi kwa Jamiiforum Doctors kwa kazi nzuri za ushauri na msaada wa kitalaam mnaoutoa kwenye hili jukwaa.
Mimi nina sumbuliwa na ugonjwa ambao nashindwa kuuelewa unasababishwa na nini, nina mafua yaliyoganda ndani ya koo la hewa nikipenga huwa hayatoki hadi nizibe tundu moja la pua huku nikivuta pumzi kwa ndani, nikishavuta yanashuka juu ya taya na kuyatema.
Nina mda mrefu sasa, nilishawahi kutumia dawa za hosipitali aina ya centirizine dihydrochoride hali ikawa nzuri, lakini nilipo maliza dozi baada ya mda wa miezi kama miwili hali ilirudi tena.
Kwa anayejua tiba ya ugonjwa huu naomba msaada. Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote. Akhsanteni
Mungu awabariki
Kwanza kabisa naanza kwa kutoa pongezi kwa Jamiiforum Doctors kwa kazi nzuri za ushauri na msaada wa kitalaam mnaoutoa kwenye hili jukwaa.
Mimi nina sumbuliwa na ugonjwa ambao nashindwa kuuelewa unasababishwa na nini, nina mafua yaliyoganda ndani ya koo la hewa nikipenga huwa hayatoki hadi nizibe tundu moja la pua huku nikivuta pumzi kwa ndani, nikishavuta yanashuka juu ya taya na kuyatema.
Nina mda mrefu sasa, nilishawahi kutumia dawa za hosipitali aina ya centirizine dihydrochoride hali ikawa nzuri, lakini nilipo maliza dozi baada ya mda wa miezi kama miwili hali ilirudi tena.
Kwa anayejua tiba ya ugonjwa huu naomba msaada. Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote. Akhsanteni
Mungu awabariki
