FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 915
- 638
Wakuu naomba kujuzwa makampuni,iwe ya kimataifa au ya ndani ya nchi ambayo yanaweza kunilipia masomo ya Masters katika Vyuo vya ndani ya nchi hata kama ni part-time au chuo kikuu huria au Full-time.
Nipo tayari kusomeshwa kwa mkataba kama ni taasisi au shirika litakalo nilipia Ada. Shida yangu ni ADA TU, mahitaji mengine nitajigharimia.
Program: MA Education, Project Management.
Kwa watakaoguswa wanijulishe kwa Email:boscohaule@yahoo.com
Nipo tayari kusomeshwa kwa mkataba kama ni taasisi au shirika litakalo nilipia Ada. Shida yangu ni ADA TU, mahitaji mengine nitajigharimia.
Program: MA Education, Project Management.
Kwa watakaoguswa wanijulishe kwa Email:boscohaule@yahoo.com