Naomba msaada wa kuondoa madoa na chunusi usoni

Naomba msaada wa kuondoa madoa na chunusi usoni

Tafuta sabuni flani iv inaitwa AHSANTE ya ukwaju.. Baada ya mwez mmoja na nusu njoo hapa utoe ushuhuda.. Tumia kwa kunawia Au kuogea.... Achana na vi tube vitakuchubua
Mkuu hiyo sabuni haiachi makovu labda.
 
Tafuta sabuni flani iv inaitwa AHSANTE ya ukwaju.. Baada ya mwez mmoja na nusu njoo hapa utoe ushuhuda.. Tumia kwa kunawia Au kuogea.... Achana na vi tube vitakuchubua
Mkuu vp ukitumia sabun hio ,mafut au lotion gani inafaa kujipaka usoni?
 
Apply Aloe vera to your face

Leave for 20 minutes

Wash with warm water

Aloe vera can heal pimples and blemishes
 
Usitie mafuta usoni mwako ikiwa una chunusi. Itafanya hali yako kuwa mbaya zaidi
 
Habari wakuu,
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa cream nzuri(isiyochubua please)kuondoa tatizo la chunusi usoni kwangu.

Nimeshatumia vitu vingi Lakini baada ya muda tatizo hurudi.Ninaomba mwenye Tiba ya uhakika anisaidie.

Nimesikia La vista cream inasaidia na haichubui Kuna mwenye testimony na hili?

Asanteni!

Sent using Jamii Forums mobile app
Muone hyu dada anaitwa Director joan ana product nzuri sana zisizochubua ngozi kuondoa chunusi kbs mimi natumia natumia product zake nina ushuhuda

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Tafuta sabuni flani iv inaitwa AHSANTE ya ukwaju.. Baada ya mwez mmoja na nusu njoo hapa utoe ushuhuda.. Tumia kwa kunawia Au kuogea.... Achana na vi tube vitakuchubua
Mkuu hiyo sabuni inapatikana wapi kwa dar?
Na inauzwaje?
 
Melodia,

Usitumie cream yoyote

Kunywa maji mengi,pata muda wa kupumzika/kulala,epuka vyakula vya mafuta mengi na osha uso/oga kabla hujalala kila siku (usilale ukiwa umepaka chochote usoni)

Mie huwa napata chunusi pia nikikasirika kasirika ama kuwa na stress so nafikiri nayo inaweza kuwa sababu
Asijaribu kutumia chochote ataacha makovu badae. Chunusi huisha kwenye umri flani ukifika. Zitasumbua miaka 2 had 3 ila zinaisha na uso unakua kawaida
 
kuna mafuta yanaitwa Herbal yanauzwa 2000 ni kiboko ya matatizo
 
Usitie mafuta usoni mwako ikiwa una chunusi. Itafanya hali yako kuwa mbaya zaidi
nilidanganywa hivi kumbe haifai

usipotia kilainishi usoni unafanya USO wako ujitengenezee mwenyewe na. matatizo yanakuwa hayaishi
 
Tafuta sabuni flani iv inaitwa AHSANTE ya ukwaju.. Baada ya mwez mmoja na nusu njoo hapa utoe ushuhuda.. Tumia kwa kunawia Au kuogea.... Achana na vi tube vitakuchubua
Sawa lakin mm bado sijajua matumizi yake yan sijui nakosea kwasababu kila nikapata usoni huwa inanichoma sna arf nikisha nawa uso unakuwa kama umebabuka iv arf ukishakauka unakuwa kama kuna mbaa sijui tangotango yani hata sielwi ebu naomba niamby jinsi ya kutumia huwa haipakwi usoni au
 
Sawa lakin mm bado sijajua matumizi yake yan sijui nakosea kwasababu kila nikapata usoni huwa inanichoma sna arf nikisha nawa uso unakuwa kama umebabuka iv arf ukishakauka unakuwa kama kuna mbaa sijui tangotango yani hata sielwi ebu naomba niamby jinsi ya kutumia huwa haipakwi usoni au
Mimi mwenyewe hii sabuni imenibabua uenda pia sijui matumizi yake
 
Back
Top Bottom