Wakilimkuu
Member
- Apr 15, 2024
- 91
- 106
Habari wakuu ni matumaini yangu wote ni wazima,Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,naomba msaada natamani sana kwenda kufanya kazi ulaya, elimu yangu nimeishia four 4,pasport ninayo naomba mwenye connection aniunganishe
N.B sihitaji kejeli,mzaha,utani 🙏
N.B sihitaji kejeli,mzaha,utani 🙏