Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila akifika lazima wamjaribu kama shoga kweliUkisema wewe ni shoga na unanyanyasika kutokana na ushoga wako, nchi za Ulaya zinakupa hadhi ya ukimbizi fasta
Siku hizi wakupima wanakuweka chumba kimoja na dumeUkisema wewe ni shoga na unanyanyasika kutokana na ushoga wako, nchi za Ulaya zinakupa hadhi ya ukimbizi fasta
Lema alikuwa ulaya??Kwa sasa WakiliMkuu tafuta tu viza ya kwenda Rwanda moja kwa moja. Ulaya ukifika tu na hizi koneksheni... Watakurudisha...Rwaaandaaa.
Rahisi zaidi, jitose Ubalozini(EU)? there is nothing to loose. Itoshe unaweza kuwa na kismeti wakakuajiri hapo hapo kwa ujasiri. Mishahara yao haipishani na ya huko Ulaya. Na ni bora zaidi ukapata ajira hapahapa nchini. Utaweza kuwa na Familia yako kila siku.
Kazi kweli. Tundu Lissu amerudi hata na Lema!
Hapo pagumu mkuuIla awe tayari kutestiwa
Kama kweli ni shogaKutestiwa nini ? Spika kama inalia ?
HakikaAjiandae kisaikolojia
Kama kweli ni shoga
Kwamba wewe umesomea vitu vya maana?Lema alikuwa ulaya??
Shule na mtaani umesomea upumbavu.
KulalekiAtasema ana blidi
Umeishia standard 4! Utaweza kujazo form za uhamiaji za kutoka na kuingia au utaomba msaada ujaziwe!Habari wakuu ni matumaini yangu wote ni wazima,Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,naomba msaada natamani sana kwenda kufanya kazi ulaya, elimu yangu nimeishia four 4,pasport ninayo naomba mwenye connection aniunganishe
N.B sihitaji kejeli,mzaha,utani 🙏
WAKILI MKUU KAMA UPO SERIOUS NAOMBA NITAFUTE NIKUSAIDIE.
Mkuu naomba unitafute Whatsapp namba yangu 0695414748, ningekuja pm ila siyo mzoefu wa jfWAKILI MKUU KAMA UPO SERIOUS NAOMBA NITAFUTE NIKUSAIDIE.
Ok nitafute whatsapp kwa namba hii 0695414748Kwa mawazo yako naamini utaenda tu.
Ukinijia private nikupe namba ya mtu kisiri umjaribu uone atakusaidia nini
Nashukuru kwa ushauri wako mkuuTafuta mtu ambaye ana mtu huko ambaye ameishi kitambo akupe mchongo wa kwenda kutembea. Ukifika unatafuta kazi kama ya kusaidia mgonjwa ambaye anahitaji 24/7 care then utatumia hicho kisingizio kuongeza siku za kuishi hadi watakapokupa kibali cha kukaa miezi mingi zaidi. Hapo utatafuta hata chuo uanze kusoma elimu ya diploma usomee hata unesi then unaunga huko huko kuomba working permit.