Naomba msaada wa kwenda ulaya

Lema alikuwa ulaya??
Shule na mtaani umesomea upumbavu.
 
Lema alikuwa ulaya??
Shule na mtaani umesomea upumbavu.
Kwamba wewe umesomea vitu vya maana?

Na kama umesomea vitu vya maana, usinge fanya kitu kinaitwa Ad Hominem.
...
Badala ya kujikita kwenye mada, utoe ushauri ama msaada, wewe unajikita kwenye Elimu yangu.


Soma tena.
 
Umeishia standard 4! Utaweza kujazo form za uhamiaji za kutoka na kuingia au utaomba msaada ujaziwe!
Nakushauri nunua nguo za kiaskofu na bibilia kisha muda wote unasema "in the name of jesus' utafanikiwa na utapewa makazi kwa mapadri.
 
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…