Naomba msaada wa namna yoyote ya kukutana au kuwasiliana na mchawi au mganga proffesional

Naomba msaada wa namna yoyote ya kukutana au kuwasiliana na mchawi au mganga proffesional

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Nahitaji mawasiliano ya mchawi au mganga yoyote ambae ni proffesional, nina ndoto ya kuanzisha college ya kufundisha teknolojia ya uchawi ivyo basi nahitaji kuonana na proffesional wa hii taaluma ya uchawi ili anithibitishie juu ya uwepo wa hii teknolojia na anipe mwongozo mzuri wa kutimiza lengo langu.

Kwa kusema kweli bado sina written plan yoyote wala resources zozote za kutimiza ndoto yangu lakini naamini nitafanikiwa tu kikubwa ni kuanza kupiga hatua

Kwa kipindi kirefu teknolojia ya uchawi imekua ikiangaliwa vibaya lakini tujiulize kama kweli uchawi upo je hakuna namna yoyote inawezakana ukatumika kwa mambo ya kutunufaisha? mfano mgonjwa mahututi yupo Kigoma inabidi awaishwe muhimbili badala ya kumpakiza ndege akasafiri kwa masaa kadhaa kwanini asipakizwe kwenye ungo ndani ya dakika moja tu tayari yupo muhimbili

Nafikiri imefika hatua sasa tuiangalie hii teknolojia kwa jicho jema na ikiwezekana ifundishwe kama taaluma zingine, tuache kuuangalia uchawi kama njia ya kutekeleza mambo mabaya tu.
 
Nahitaji mawasiliano ya mchawi au mganga yoyote ambae ni proffesional, nina ndoto ya kuanzisha college ya kufundisha teknolojia ya uchawi ivyo basi nahitaji kuonana na proffesional wa hii taaluma ya uchawi ili anithibitishie juu ya uwepo wa hii teknolojia na anipe mwongozo mzuri wa kutimiza lengo langu.

Kwa kusema kweli bado sina written plan yoyote wala resources zozote za kutimiza ndoto yangu lakini naamini nitafanikiwa tu kikubwa ni kuanza kupiga hatua

Kwa kipindi kirefu teknolojia ya uchawi imekua ikiangaliwa vibaya lakini tujiulize kama kweli uchawi upo je hakuna namna yoyote inawezakana ukatumika kwa mambo ya kutunufaisha? mfano mgonjwa mahututi yupo Kigoma inabidi awaishwe muhimbili badala ya kumpakiza ndege akasafiri kwa masaa kadhaa kwanini asipakizwe kwenye ungo ndani ya dakika moja tu tayari yupo muhimbili

Nafikiri imefika hatua sasa tuiangalie hii teknolojia kwa jicho jema na ikiwezekana ifundishwe kama taaluma zingine, tuache kuuangalia uchawi kama njia ya kutekeleza mambo mabaya tu.
Kuna nchi nasikia inatoa shahada ya mambo ya ulozi
 
Una ndoto...
Ukiamka uniambie tuongee vizuri
 
Nahitaji mawasiliano ya mchawi au mganga yoyote ambae ni proffesional, nina ndoto ya kuanzisha college ya kufundisha teknolojia ya uchawi ivyo basi nahitaji kuonana na proffesional wa hii taaluma ya uchawi ili anithibitishie juu ya uwepo wa hii teknolojia na anipe mwongozo mzuri wa kutimiza lengo langu.

Kwa kusema kweli bado sina written plan yoyote wala resources zozote za kutimiza ndoto yangu lakini naamini nitafanikiwa tu kikubwa ni kuanza kupiga hatua

Kwa kipindi kirefu teknolojia ya uchawi imekua ikiangaliwa vibaya lakini tujiulize kama kweli uchawi upo je hakuna namna yoyote inawezakana ukatumika kwa mambo ya kutunufaisha? mfano mgonjwa mahututi yupo Kigoma inabidi awaishwe muhimbili badala ya kumpakiza ndege akasafiri kwa masaa kadhaa kwanini asipakizwe kwenye ungo ndani ya dakika moja tu tayari yupo muhimbili

Nafikiri imefika hatua sasa tuiangalie hii teknolojia kwa jicho jema na ikiwezekana ifundishwe kama taaluma zingine, tuache kuuangalia uchawi kama njia ya kutekeleza mambo mabaya tu.
Sikia mkuu izo ni hadithi tupu.

Usiponisikia hapa utahangaishwa bure na kupoteza muda wako kwa hadithi za kishirikina, sijui kupaa kwa ungo, uchawi misukule, mitunge, mapepo, vibwengo na "majini". Haya ni mambo ya kijinga na utoto Tu.
 
Back
Top Bottom