- Thread starter
- #21
sawasawa mkuu so mbaya km naye anapenda bas poa
poa ndg yangu..nashkur sana kwa ushirikiano mliotoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawasawa mkuu so mbaya km naye anapenda bas poa
ni kweli unayosema ila hawa wadogozetu wanaona ukichukua dip hlf baadae uchukue dgr muda unakua umepotea ndo maama mtu anaona bora achukue degree moja kwa moja ili acheze na muda hata kama akisoma ualimu wa sayansi...