sawasawa mkuu so mbaya km naye anapenda bas poa
ni kweli unayosema ila hawa wadogozetu wanaona ukichukua dip hlf baadae uchukue dgr muda unakua umepotea ndo maama mtu anaona bora achukue degree moja kwa moja ili acheze na muda hata kama akisoma ualimu wa sayansi...