Naomba msaada wa tatizo hilI ukutani

Naomba msaada wa tatizo hilI ukutani

naam mkuu chumvi kwa kweli ipo
Tatizo linaanzia hapo, mwite fundi aangalie ni jinsi gani atakwangua kisha kwa kuanzia chini ya madirisha ipigwe niru yenye cementi kali karibia na ile ipakwayo sakafuni.Maana ikiachwa hukata kabisa na kutoboa matofali na kwa ndani uweke mkanda wenye cementi kali sana lakini pachimbwe nchi angalau mbili kwenda chini, na ukimwagwa juu mkanda uwe wa nchi nne.
 
fundi rangi mtaalam anaweza kukusaidia zaidi
 
Mm bwama baada kuona kila akija fundi hali inajirudia zaidi mara tatu yaan hali ikitulia imejitahidi miezi
Nikapoga plasta upya yenye cement kali nje na ndani wakati anapoga plasta upande huu upende mwingine FUNDI mwingine anaskim na WHITE CEMENT niliskim na WHITE CEMENT nje na ndani na nikapaka ile rangi ya waterproof TATIZO likaisha nilifanya hvyo SEBURENI huko vyumbani bado tunapambana hvyohvyo mana kurudia PLASTA na KUSKIN na WHITECEMENT nje na ndani inataka moyo ni ghalama sana aisee

Nb. Usikubali ukuta wako usikimiwe na GYPSUM POWDER baada ya muda flan utazingua tu
GYPSUM POWDER haifai ukutani na si kazi yake kuskimia ukuta kisha upake rangi

Pole sana na hilo tatizp
 
Ukiachilia tatizo la chumvi ,aliyefanya plastering & skimming kakupiga ,ratio ya cement na mchanga haikuwa sawa.
Kama mfuko unaruhusu ,piga plasta upya nyumba zima then skimm na white cement
Ratio tumia 1:2
Plasta ni lazima iwe kali pia, asisahau hilo.
 
Ukiachilia tatizo la chumvi ,aliyefanya plastering & skimming kakupiga ,ratio ya cement na mchanga haikuwa sawa.
Kama mfuko unaruhusu ,piga plasta upya nyumba zima then skimm na white cement
Ratio tumia 1:2
Dah simchezoo nitaangalia shukran mkuu
 
Nikifika hapo ntapumua

KAKA HONGERA [emoji1374][emoji1374]
 
Ishakuwa kamzozo kuna jamaa yangu hilo tatizo lilimsumbua mpaka kaamua kupiga vigae ukutani.Chumba kimekuwa kama bafu .
 
Hiyo ni Fungus
Treatment yako ni kukwangua hiyo sehemu yote iliyoharibiwa na fungus , then unatumia sikaguard baada ya hapo unafabya skimming , then beforw hujapiga rangi unairudia tena ile sika guard
Baada ya happ ukipiga rangi hiyo hali haijirudii tena
 
Habarini wakuu naomba msaada wa tatizo langu hilo kwenye ukutani.

Je, ni tiba gani inafaa hapo ili tatizo liondoke moja kwa moja?

Shukrani.

Pitia hapo,upate maelekezo ya kina

 
Hiyo ni Fungus
Treatment yako ni kukwangua hiyo sehemu yote iliyoharibiwa na fungus , then unatumia sikaguard baada ya hapo unafabya skimming , then beforw hujapiga rangi unairudia tena ile sika guard
Baada ya happ ukipiga rangi hiyo hali haijirudii tena
Hiyo si Fungus...
Fungus hutokea kwenye kuta zenye unyevu na ubaridi.
Fungus huwa na rangi ya ukijani
Fungus ni viumbe hai..

Hiyo ni chumvi.
 
Hiyo ratio iliotumika kupiga plasta ni mbovu sana...
Japo ni fungus lakini plasta na skimming ni mbovu sana....hii ni jenga uza..
Nunua white skim..fundi apige mikono mitatu, kama unataka na dawa ya fungus wanayo pia.

Angepiga plasta vizuri, hyo powder ingekuwa inabanduka bila cement
Kwenye Shambulio la chumvi dhidi ya ukuta, ratio ya binder huwa siyo kigezo,,,
White Cement ina CaO (Calcium Oxide ) sawa na Grey cement iliyotumika hapo, hiyo chumvi ita react nayo na kuharibu vile vile tu.
 
Wakati wa ujenzi uliweka yale lile nailoni la kuzuia maji maji yasipande ukutani?

Nyumba yako ilipo ilikuwa ni eneo la maji kutuhama?

Kuna mabomba yamepita ndani ya kuta eneo hilo?
Nailoni ni rahisi kuchanika, kutoboka na nyembamba sana,
Halafu plasta inatengeneza bridge ya unyevu kwenda juu
 
Nailoni ni rahisi kuchanika, kutoboka na nyembamba sana,
Halafu plasta inatengeneza bridge ya unyevu kwenda juu
Kuna nailoni zake ambazo ni spesho kwa ajili ya kwenye mkanda kabla hujapandisha tofali zinauzwa madukani,uko kuchanika ama kutoboka mie sijaona wala kukutana nalo
 
Back
Top Bottom