Naomba msaada wa tatizo hilI ukutani

Naomba msaada wa tatizo hilI ukutani

Hiyo ratio iliotumika kupiga plasta ni mbovu sana...
Japo ni fungus lakini plasta na skimming ni mbovu sana....hii ni jenga uza..
Nunua white skim..fundi apige mikono mitatu, kama unataka na dawa ya fungus wanayo pia.

Angepiga plasta vizuri, hyo powder ingekuwa inabanduka bila cement
Mbona wazungumzia chanzo cha tatizo bila majibu ya utatuzi?
 
Kuna nailoni zake ambazo ni spesho kwa ajili ya kwenye mkanda kabla hujapandisha tofali zinauzwa madukani,uko kuchanika ama kutoboka mie sijaona wala kukutana nalo
Niskilize kwenye hili, nailoni haitakiwi kutumika,,kuuzwa dukani siyo tatizo.
Kuna Ringi za za pembe tatu zinauzwa dukani japo haitakiwi kuwa na beam au nguzo yenye nondo tatu....

Matilio yoyote ya kutumika, inatakiwa iwe na thickness ya 10mm,Nailoni ni chini ya 2MM.

Hapo ni kusaka Membrane ya metals e.g copper ,aluminium au membrane ya Polyethylene.
 
Back
Top Bottom