OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mbona wazungumzia chanzo cha tatizo bila majibu ya utatuzi?Hiyo ratio iliotumika kupiga plasta ni mbovu sana...
Japo ni fungus lakini plasta na skimming ni mbovu sana....hii ni jenga uza..
Nunua white skim..fundi apige mikono mitatu, kama unataka na dawa ya fungus wanayo pia.
Angepiga plasta vizuri, hyo powder ingekuwa inabanduka bila cement
wale wanauza vifaa vingi vya ujenzi,wanawataalamu wao pale utakapowaelezea jambo lako ni rahisi kukusaidia jinsi ya kulitatuaFafanua aende kufanyeje
Sawa mkuuwale wanauza vifaa vingi vya ujenzi,wanawataalamu wao pale utakapowaelezea jambo lako ni rahisi kukusaidia jinsi ya kulitatua
Solution nemeweka hapo...anunue white skim...kama anaishi bonden aweke tiles...Mbona wazungumzia chanzo cha tatizo bila majibu ya utatuzi?
Niskilize kwenye hili, nailoni haitakiwi kutumika,,kuuzwa dukani siyo tatizo.Kuna nailoni zake ambazo ni spesho kwa ajili ya kwenye mkanda kabla hujapandisha tofali zinauzwa madukani,uko kuchanika ama kutoboka mie sijaona wala kukutana nalo