Naomba msaada wa ushauri kuhusu MABOTO microfinance

Naomba msaada wa ushauri kuhusu MABOTO microfinance

Ninashida ya mkopo kwa ajili ya kuendeleza biashara zangu na sikuwahi kukopa taasisi yoyote ya kibenki lakini kwa sasa nahitaji mkopo.

Nimetembelea taasisi za kibenki tatu lakini kuna masharti magumu sana na wengine kama CRDB hawakopeshi kabisa mpaka sasa.

Nimekutana na taasisi binafsi iitwayo MABOTO MICROFINANCE hawa jamaa wanatoa mkopo wenye marejesho ya riba ya jumla ya 50% kwa mda mliokubaliana e.. ukikopa 6,000,000 Millions utarejesha 9,000,000.

Kwangu nmeona n nafuu kuliko hesabu za benk kama NMB ambapo kwa hicho kiasi e.g 3 years unarejesha zaidi ya 10,000,000 Millions ukiacha mbali gharama za INSURANCE, processing n.k

Nahitaji ushauri wa kitalaam kabla sijafanya maamuzi haya.

Msaada wenu please

USIKOPE, Endeleza Biashara taratibu nawombe Mungu.
 
Riba nimeshaweka, sababu ya riba kuwa kubwa au ndogo nimeweka mpaka kanuni ya kupata makato yetu platinum nimeweka bado hujaridhika tu ndugu?

Itakua unataka mabishano tu sasa ila sio kueleweshana
Platinum hovyo mno,wahuni kuanzia manager na wafanyakazi .ukiingia umeumia
 
Plantnum hapana wanakaribiana na nmb mng'ato, post: 19460981, member: 255832"]Platinum?Hapana aisee.

Huko watu wanakopaga million 1 unarudisha mil 2.[/QUOTE]
hapana no
 
Back
Top Bottom