blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
- Thread starter
- #21
Source ni mimi kwa kuwa nilikuwepo kwenye kazi ya usahihishaji wa mitihani ya form 4 mwaka jana na wataalamu wa NECTA tulipowauliza ndo wakatupa majibu hayo wakati tukiwa kwenye semina.
mkala hela zetu walipa kodi na mkaliafiki hili...
Kutokana na umaskini na njaa..mkakosa ujasiri wa kuhoji. ,,kwamba wawili wanapoints zinazofanana 42..mmoja anapata cheti mwingine anaoneka si kitu...