buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 2,007
- 7,126
Yah ni njia ya vumbi ukitokea pale round about vumbi linaanza kutimka balaaDA kumbe ndiyo maana imetokea hapo? njia ya kuelekea kwa mpalange ina topeee???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah ni njia ya vumbi ukitokea pale round about vumbi linaanza kutimka balaaDA kumbe ndiyo maana imetokea hapo? njia ya kuelekea kwa mpalange ina topeee???
mpaka kwenye kipenyo unakuta topeeeeee??Yah ni njia ya vumbi ukitokea pale round about vumbi linaanza kutimka balaa
Tope linaruka mpaka kwenye msitu wakarbumpaka kwenye kipenyo unakuta topeeeeee??
Inaonekana hujapita njia hiyo muda mrefu,kuanzia kwa mama kibonge/njia panda kitunda kunajengwa lami ya kisasa,darajani kwa mpalange lile daraja limebomolewa linajengwa la kisasa,njia ya lami inaanzia njia panda kitunda inapita kwa mparange inaenda kirungure na kutokea mbagala zakhem.Ishu sio kwa mpalange tatizo lipo kwenye Ile njia unayoelekea kwa mpalange....mbunge akipita tutamuomba atuwekee lami maana tope la pale mvua ikinyesha inaakisi kabisa na kipenyo Cha mstatili
kwa mpalangeeeeee duuuuTope linaruka mpaka kwenye msitu wakarbu
kukiwa hivyo itakuwqa siyo nja pendwa tena waiche tuuuuuInaonekana hujapita njia hiyo muda mrefu,kuanzia kwa mama kibonde/njia panda kitunda kunajengwa lami ya kisasa,darajani kwa mpalange lile daraja limebomolewa linajengwa la kisasa,njia ya lami inaanzia njia panda kitunda inapita kwa mparange inaenda kirungure na kutokea mbagala zakhem.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa taarifa Ila wiki iliyopita nilikutana na vumbi kwenye hiyo njia Sasa sijui hyo lami wanajenga wapiInaonekana hujapita njia hiyo muda mrefu,kuanzia kwa mama kibonge/njia panda kitunda kunajengwa lami ya kisasa,darajani kwa mpalange lile daraja limebomolewa linajengwa la kisasa,njia ya lami inaanzia njia panda kitunda inapita kwa mparange inaenda kirungure na kutokea mbagala zakhem.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nimecheka kwa sauti wew jamaaMliposikia watu wa Buza wakipata tabu, mkahisi hayatawafika. Na bado
Tuliza boli ndg hujafika kwa mparange kuna mambo yanaendeleaAhsante kwa taarifa Ila wiki iliyopita nilikutana na vumbi kwenye hiyo njia Sasa sijui hyo lami wanajenga wapi
Kwaiyo unataka nianze kujisifia kwamba nimekupitia kwampalange sioTuliza boli ndg hujafika kwa mparange kuna mambo yanaendelea
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Niombe radhi mkuu,kwani na ww kwa mpalange unakwenda?Kwaiyo unataka nianze kujisifia kwamba nimekupitia kwampalange sio
Ni mpalange ipi unayoijua ww,tuanzie hapo.Hata picha ya kwa Mpalange hamna sasa tutachangiaje uzi wako?
Anayolalamikia mleta uzi....
Yah ni njia ya vumbi ukitokea pale round about vumbi linaanza kutimka balaa
Vp mkuu unataka kunipitisha Nini??Niombe radhi mkuu,kwani na ww kwa mpalange unakwenda?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mtacoment kinondoni.Sisi wa masaki tucoment wapi?