Naomba muongozo kuhusu ajira za polisi, nitegemee nini baada ya kupita usaili?

Naomba muongozo kuhusu ajira za polisi, nitegemee nini baada ya kupita usaili?

zantana

Member
Joined
Aug 31, 2021
Posts
38
Reaction score
35
Habari wana JF, nimeapply hizi nafasi za kazi za jeshi zilizotolewa Mei, 2024.

Je, nitegemee nini baada ya kupita usaili?

Nina degree nmeapply kwenye Kategoria ya Forensics. Naomba kujua mchakato mzima huwa unaendaje: usaili lini, majibu baada ya muda gani, mafunzo ya jeshi ni mda gani, na kama nitafanyia kazi fani yangu.

Natanguliza shukrani.

Nawasilisha🤝
 
Boss wangu Kwa forensic lazima utafaulu usaili vilivyo.
Kikubwa uwe na afya njema. Jeshi linataka vijana safi kiafya wenye nguvu za mwili na akili. Isotoshe polisi ni watu wanaokuwa silaha muda mwingi so utimamu wa akili pia ni lazima.
Kuhusu kufanya kazi kw fani ya Elimu yakooo...ni kweli utafanya kazi huko zihusuzo Elimu yako.
Muda wa mafunzo bila kudanganya miezi michache zaidi ni 11 mingi zaidi ni 12.
 
Boss wangu Kwa forensic lazima utafaulu usaili vilivyo.
Kikubwa uwe na afya njema. Jeshi linataka vijana safi kiafya wenye nguvu za mwili na akili. Isotoshe polisi ni watu wanaokuwa silaha muda mwingi so utimamu wa akili pia ni lazima.
Kuhusu kufanya kazi kw fani ya Elimu yakooo...ni kweli utafanya kazi huko zihusuzo Elimu yako.
Muda wa mafunzo bila kudanganya miezi michache zaidi ni 11 mingi zaidi ni 12.
Mafunzo ya nini Tena.
 
Boss wangu Kwa forensic lazima utafaulu usaili vilivyo.
Kikubwa uwe na afya njema. Jeshi linataka vijana safi kiafya wenye nguvu za mwili na akili. Isotoshe polisi ni watu wanaokuwa silaha muda mwingi so utimamu wa akili pia ni lazima.
Kuhusu kufanya kazi kw fani ya Elimu yakooo...ni kweli utafanya kazi huko zihusuzo Elimu yako.
Muda wa mafunzo bila kudanganya miezi michache zaidi ni 11 mingi zaidi ni 12.
Yaani mwaka mmoja mnajifunza kukimbiza mwizi, are you serious???
 
Boss wangu Kwa forensic lazima utafaulu usaili vilivyo.
Kikubwa uwe na afya njema. Jeshi linataka vijana safi kiafya wenye nguvu za mwili na akili. Isotoshe polisi ni watu wanaokuwa silaha muda mwingi so utimamu wa akili pia ni lazima.
Kuhusu kufanya kazi kw fani ya Elimu yakooo...ni kweli utafanya kazi huko zihusuzo Elimu yako.
Muda wa mafunzo bila kudanganya miezi michache zaidi ni 11 mingi zaidi ni 12.
Mimi siku zote Hua nawaambia watu tujifunze kuendanana na wakat kama una umri mzuri tumia elimu ya kawaida kutafuta nafsi kikubwa uwe na vigezo husika misifa ya madegree imefanya tukose vingi hio forensics unayompauhakika asijue yuko Peke yake watu tumekula cyber na tukaona hakuna jambo tukamia afya atanielewa pale ambapo pdf I anarudi degrees zikiwemo 80 nchi nzima na zanzibar huku hio forensics yake mnayosema watamtetemekea et anahitajika wamchukue utakuta wamejaza certificates za basic computers application forms four na six kama laki mbili tufanyeni uamuzi kulingana na muda sio sifa
 
Mimi siku zote Hua nawaambia watu tujifunze kuendanana na wakat kama una umri mzuri tumia elimu ya kawaida kutafuta nafsi kikubwa uwe na vigezo husika misifa ya madegree imefanya tukose vingi hio forensics unayompauhakika asijue yuko Peke yake watu tumekula cyber na tukaona hakuna jambo tukamia afya atanielewa pale ambapo pdf I anarudi degrees zikiwemo 80 nchi nzima na zanzibar huku hio forensics yake mnayosema watamtetemekea et anahitajika wamchukue utakuta wamejaza certificates za basic computers application forms four na six kama laki mbili tufanyeni uamuzi kulingana na muda sio sifa
Tusubiri tuone na vp baada ya usaili intake yao ni mwez wa ngapi 9 am ni wa 10 na wanatoma majina mengine ya waliopita
 
Back
Top Bottom