Naomba mwenye amewahi kutumia TV za Alitop anisaidie kujua strength na weakness zake

Naomba mwenye amewahi kutumia TV za Alitop anisaidie kujua strength na weakness zake

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,587
Nahitaji kununua TV priority yangu ilikua hisense na skyworth ila katika zunguka yangu hizi TV zimekua adimu sana ila wauzaji wamenambia alitop ni best TV kwa upande wa picha na mimi pia nimelidhibitisha ukicompare na TV nyingine ikifatiwa na home base.

Naombeni anayejua mapungufu yake anishauri kabla sijachukua maamuzi.
 
Nahitaji kununua TV priority yangu ilikua hisense na skyworth ila katika zunguka yangu hizi TV zimekua adimu sana ila wauzaji wamenambia alitop ni best TV kwa upande wa picha na mimi pia nimelidhibitisha ukicompare na TV nyingine ikifatiwa na home base.

Naombeni anayejua mapungufu yake anishauri kabla sijachukua maamuzi.
Alitop & Co ni TV za kusukumia muda tu. Hi-Sense mbona zipo nyingi tu na ni tv nzuri ulipata OG
 
Alitop kwasasa ndio cheapest TV in town.

Kama una pesa Nakushauri
ongezea ununue TV inayoeleweka,
maana tofauti yake na Zile za kawaida ila standard Kama GOOD VISION, SOYI, SUNDAR, ABORDER, BOSS n.k ni kamaa elfu 20 mpk 30 (haizidi elfu 50).

NB: Naongea Kama muuzaji mzoefu
 
Kwenye Quality ya picha nakukatalia 100%.

Hayo Ni Maneno ya kuiuzaji, walichoboresha pale Ni brightness TU, ila kwenye color quality ni Changamoto.

Hiyo alitop ninayo Hapa dukan kwangu MDA huu nnapoandika Uzi huu.

Nisharudisha tv mbili kwa mzalishaji kwasababu ya shida ya kuungua taa za backlight na nyingine kuungua kadi ya picha

Nimefanyiwa replacement,
Moja nmefanikiwa kuiuza sijapata malalamiko. Hi nyingine ilobaki ikikaa MDA mrefu sana inawaka, spika yake inaanza kukoroma.

Ukiifunga na tv guard tatzo linakoma, kwasasa nmebd nisiiwashe ila akija mteja namuwashia na kila kitu kinakaa fresh.

Na wateja wanaonunua nawaongezea Cha juu ili walipie na tv guard niepuke lawama isije kuungua mapema nikafukuza wateja Wangu[emoji120]
 
Kwenye Quality ya picha nakukatalia 100%.

Hayo Ni Maneno ya kuiuzaji, walichoboresha pale Ni brightness TU, ila kwenye color quality ni Changamoto.

Hiyo alitop ninayo Hapa dukan kwangu MDA huu nnapoandika Uzi huu.

Nisharudisha tv mbili kwa mzalishaji kwasababu ya shida ya kuungua taa za backlight na nyingine kuungua kadi ya picha

Nimefanyiwa replacement,
Moja nmefanikiwa kuiuza sijapata malalamiko. Hi nyingine ilobaki ikikaa MDA mrefu sana inawaka, spika yake inaanza kukoroma.

Ukiifunga na tv guard tatzo linakoma, kwasasa nmebd nisiiwashe ila akija mteja namuwashia na kila kitu kinakaa fresh.

Na wateja wanaonunua nawaongezea Cha juu ili walipie na tv guard niepuke lawama isije kuungua mapema nikafukuza wateja Wangu[emoji120]
Boss ukiachana na hizi giants brands kampuni gani iko vizuri mkuu make baadhi ya maduka wanaziponda sana hisense kwanmba hazina tofauti na zingine wao wanauzia jina tu
 
Alitop kwasasa ndio cheapest TV in town.

Kama una pesa Nakushauri
ongezea ununue TV inayoeleweka,
maana tofauti yake na Zile za kawaida ila standard Kama GOOD VISION, SOYI, SUNDAR, ABORDER, BOSS n.k ni kamaa elfu 20 mpk 30 (haizidi elfu 50).

NB: Naongea Kama muuzaji mzoefu
Jamaa mwingine alinambia homebase ni bora sana haina tofauti na Samsung
 
Boss ukiachana na hizi giants brands kampuni gani iko vizuri mkuu make baadhi ya maduka wanaziponda sana hisense kwanmba hazina tofauti na zingine wao wanauzia jina tu
Ukiachana na majina,
Tv ya Bei NAFUU kwa kufuata ubora wa picha na uimara.

Chukua kampuni ya GOOD VISION au Singsung.
Ukipata BOSS pia nao wazur Sana, Bei reasonable.

Goodvision Ni kampuni Tanzu ya LG, wanaungiliana kila kitu kuanzia vioo, circuits mpk remote.

Kama ilivyo kwa Singsung kwa SAMSUNG, nao wanaingiliana vioo na circuits.

Wanatoa bidhaa zao quality Sana na Bei NAFUU mno.

Tv za good vision nmeziuza tangu 2018,
Sijawahi kukutana hata Moja kwa fundi tv zaidi ya zile za kuvunjika vioo.

NB: Siku hizi Goodvision wanatoa Double screen, kwaiyo wameimarisha sana

Tv za singsung zimetoka zaman Sana (Nadhan kwenye 2010 hv),
ila nazo utakuna nazo chache sana kwa fundi zenye matatizo ya kiufundi, Tena zile za zamani Sana miaka ya 2010-2015.

NB: Hawa hawana double screen, Ni kioo kimoja tu. Ukijichanganya umepasua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujakosa Hisense sema Huna hela.
Ninazo hata mimi ukitaka.
Hiyo brand unayosema haijaingia sokoni muda mrefu kwa hiyo huwezi kupata uzoefu toka kwa mlaji
Hisense sahv zipo za China,Hizo Ni chenga tupu.Za south africa ndo imara sana

KUNUNUA Hisense yaam China,
Mara Mia ukanunue TU Hisense ya mtumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss ukiachana na hizi giants brands kampuni gani iko vizuri mkuu make baadhi ya maduka wanaziponda sana hisense kwanmba hazina tofauti na zingine wao wanauzia jina tu
Hisense kwasasa ziko Aina 3
1. Hisense made in China
2. Hisense made in South Africa
3. Hisense made in UK

Bei zake zinatofautiana kutokana umenunua ya wapi, Kama huzijui unaweza uziwa Hisense ya China kwa Bei ya Hisense ya UK.
KISHA UKAJUTIA PESA YAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hisense kwasasa ziko Aina 3
1. Hisense made in China
2. Hisense made in South Africa
3. Hisense made in UK

Bei zake zinatofautiana kutokana umenunua ya wapi, Kama huzijui unaweza uziwa Hisense ya China kwa Bei ya Hisense ya UK.
KISHA UKAJUTIA PESA YAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu umenifumbua macho
 
Back
Top Bottom