Naomba mwenye amewahi kutumia TV za Alitop anisaidie kujua strength na weakness zake

Naomba mwenye amewahi kutumia TV za Alitop anisaidie kujua strength na weakness zake

Hisense za UK zinafungwa kwenye box za kaki tupu zikiwa na maandishi meusi ya HISENCE.
UKIIBEBA Ni nzito afu maandishi ya HISENSE pamoja na model namba yake vimeprintiwa/chomelewa kwenye fremu kabisa (haibanduki).
Na tv imeandikwa kabisa "made in UK"

Hisense za South Africa zinafungwa kwenye box za kaki zilizochanganywa na light blue
Afu Ni nyepesi , neno Hisense limepribtiwa na kuchelewa kwenye fremu ila na model number imebandikwa kwa stika nyeusi yenye maandishi meupe pamoja na kuandikwa "made in RSA"

HISENsE za China zinafungwa kwenye box nyeupe zilizochanganywa na light blue
Ni nyepesi , neno Hisense limebandikwa na na stika ngumu ya plastick ila haijachomelewa, na model number nyuma ya tv imebandikwa kwastika nyeupe yenye maandishi meusi.
Na imeanidkwa kabisa "made in P.R.C"
 
Kumbe WA gonjwa wengi humu.......wee umesikia wapi kuna TV inaitwa alitop kama sio China's sheet.......nunua uone inavyogeuka Chini juu juuchini ndio utakuwa umejifunza
ALITOP Ni kampuni iliyoibuka baada ya kufa kwa kampuni kongwe ya AILIPU pamoja na AYLIPU

Hizi Ni kampuni za Zamani Sana, Sema magu aliwanyoosha wakafilisika na kubadili jina la kampuni.

Yaani Mmliki Ni yule yule[emoji4]
 
ALITOP Ni kampunj iliyoibuka baada ya kufa kwa kampuni ya AILIPU pamoja na AYLIPU

Yaani Mmliki Ni yule yule[emoji4]
Namjua huyo ni mwalimu WA ufundi veta ya China🤣🤣😂😂😂😂
 
Hisense kwasasa ziko Aina 3
1. Hisense made in China
2. Hisense made in South Africa
3. Hisense made in UK

Bei zake zinatofautiana kutokana umenunua ya wapi, Kama huzijui unaweza uziwa Hisense ya China kwa Bei ya Hisense ya UK.
KISHA UKAJUTIA PESA YAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan hisence si mali ya mchina?? Au sio bland ya mchina
 
Hisense za UK zinafungwa kwenye box za kaki tupu zikiwa na maandishi meusi ya HISENCE.
UKIIBEBA Ni nzito afu maandishi ya HISENSE pamoja na model namba yake vimeprintiwa/chomelewa kwenye fremu kabisa (haibanduki).
Na tv imeandikwa kabisa "made in UK"

Hisense za South Africa zinafungwa kwenye box za kaki zilizochanganywa na light blue
Afu Ni nyepesi , neno Hisense limepribtiwa na kuchelewa kwenye fremu ila na model number imebandikwa kwa stika nyeusi yenye maandishi meupe pamoja na kuandikwa "made in RSA"

HISENsE za China zinafungwa kwenye box nyeupe zilizochanganywa na light blue
Ni nyepesi , neno Hisense limebandikwa na na stika ngumu ya plastick ila haijachomelewa, na model number nyuma ya tv imebandikwa kwastika nyeupe yenye maandishi meusi.
Na imeanidkwa kabisa "made in P.R.C"
Hisense 43'' 4k iyo ya UK Ni sh ngapi?
Na iyo ya SA Ni sh?
 
Nahitaji kununua TV priority yangu ilikua hisense na skyworth ila katika zunguka yangu hizi TV zimekua adimu sana ila wauzaji wamenambia alitop ni best TV kwa upande wa picha na mimi pia nimelidhibitisha ukicompare na TV nyingine ikifatiwa na home base.

Naombeni anayejua mapungufu yake anishauri kabla sijachukua maamuzi.
Ooh umefanya la maana at least kupata reference kutoka kwa watu.
Ingawa watu humu watakujibu kwa mapenzi na sio kwa facts zakukusaidia kufanya maamuzi sometimes, but don't buy Hiyo Alitop, most of these Chinese tv zina changamoto ya kuunguza backlight za display, zina changamoto ya circuit yake ku seize gafla hasa ukiwa kwenye maeneo yenye power fluctuations, quality ya images (colours hazipo poa,) kwa machina brand reputable zipo ie TCL, hisense (Hisense kuna inatoka china na kuna inayotoka South Africa), na evol naona wapo poa
 
Mwenye kujua password za goodvision 32".

Tv yangu ghafla toka majuzi nikiiwasha inareta message hii yani zimebaki dk 4 ijizime automatic yenyewe,nilifikiri kuifanyia system recovery lakini nilipofika hapo inadai passwor ambazo sijawahi kuweka na sizijui....msaada kwa wajuzi wa mambo
20230424_101655.jpg
20230424_102212.jpg
 
Mwenye kujua password za goodvision 32".

Tv yangu ghafla toka majuzi nikiiwasha inareta message hii yani zimebaki dk 4 ijizime automatic yenyewe,nilifikiri kuifanyia system recovery lakini nilipofika hapo inadai passwor ambazo sijawahi kuweka na sizijui....msaada kwa wajuzi wa mamboView attachment 2597880View attachment 2597882
1.km una ile manual hua zinakuwepo taarifa zao.
2.nenda kwa agent watakua na hizo code.
3.ingia kwenye website yao utapata data zaidi
 
Nahitaji kununua TV priority yangu ilikua hisense na skyworth ila katika zunguka yangu hizi TV zimekua adimu sana ila wauzaji wamenambia alitop ni best TV kwa upande wa picha na mimi pia nimelidhibitisha ukicompare na TV nyingine ikifatiwa na home base.

Naombeni anayejua mapungufu yake anishauri kabla sijachukua maamuzi.
Nna skyworth mwaka wa 4 huu, iko poa sana. Hisense nayo ni brand nzuri, natumia washing machine yake, na kuna mdau ana TV ya hisense anaisifia sana.
Achana na Allitop
 
Kwenye Quality ya picha nakukatalia 100%.

Hayo Ni Maneno ya kuiuzaji, walichoboresha pale Ni brightness TU, ila kwenye color quality ni Changamoto.

Hiyo alitop ninayo Hapa dukan kwangu MDA huu nnapoandika Uzi huu.

Nisharudisha tv mbili kwa mzalishaji kwasababu ya shida ya kuungua taa za backlight na nyingine kuungua kadi ya picha

Nimefanyiwa replacement,
Moja nmefanikiwa kuiuza sijapata malalamiko. Hi nyingine ilobaki ikikaa MDA mrefu sana inawaka, spika yake inaanza kukoroma.

Ukiifunga na tv guard tatzo linakoma, kwasasa nmebd nisiiwashe ila akija mteja namuwashia na kila kitu kinakaa fresh.

Na wateja wanaonunua nawaongezea Cha juu ili walipie na tv guard niepuke lawama isije kuungua mapema nikafukuza wateja Wangu[emoji120]
Mkuu hyo tv 32 inakwendaje
 
Hisense kwasasa ziko Aina 3
1. Hisense made in China
2. Hisense made in South Africa
3. Hisense made in UK

Bei zake zinatofautiana kutokana umenunua ya wapi, Kama huzijui unaweza uziwa Hisense ya China kwa Bei ya Hisense ya UK.
KISHA UKAJUTIA PESA YAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nitajuaje kama hii ni ya kichina au SA n.k?
 
Mwenye kujua password za goodvision 32".

Tv yangu ghafla toka majuzi nikiiwasha inareta message hii yani zimebaki dk 4 ijizime automatic yenyewe,nilifikiri kuifanyia system recovery lakini nilipofika hapo inadai passwor ambazo sijawahi kuweka na sizijui....msaada kwa wajuzi wa mamboView attachment 2597880View attachment 2597882
Nikutumie namba za Goodvision makao makuu, wanaweza kukusaidia hili suala lako.
 
Naomba mawasiliano nahitaji tv
Kwenye Quality ya picha nakukatalia 100%.

Hayo Ni Maneno ya kuiuzaji, walichoboresha pale Ni brightness TU, ila kwenye color quality ni Changamoto.

Hiyo alitop ninayo Hapa dukan kwangu MDA huu nnapoandika Uzi huu.

Nisharudisha tv mbili kwa mzalishaji kwasababu ya shida ya kuungua taa za backlight na nyingine kuungua kadi ya picha

Nimefanyiwa replacement,
Moja nmefanikiwa kuiuza sijapata malalamiko. Hi nyingine ilobaki ikikaa MDA mrefu sana inawaka, spika yake inaanza kukoroma.

Ukiifunga na tv guard tatzo linakoma, kwasasa nmebd nisiiwashe ila akija mteja namuwashia na kila kitu kinakaa fresh.

Na wateja wanaonunua nawaongezea Cha juu ili walipie na tv guard niepuke lawama isije kuungua mapema nikafukuza wateja Wangu[emoji120]
Omba mawasiliano nahitaji tv
 
Back
Top Bottom