Naomba mwenye amewahi kutumia TV za Alitop anisaidie kujua strength na weakness zake

Naomba mwenye amewahi kutumia TV za Alitop anisaidie kujua strength na weakness zake

Wadau kuna na hizi TV za Itel naona sana mtangazo yake , vipi quality yake ziko vizuri au midosho ?
 
Alitop kwasasa ndio cheapest TV in town.

Kama una pesa Nakushauri
ongezea ununue TV inayoeleweka,
maana tofauti yake na Zile za kawaida ila standard Kama GOOD VISION, SOYI, SUNDAR, ABORDER, BOSS n.k ni kamaa elfu 20 mpk 30 (haizidi elfu 50).

NB: Naongea Kama muuzaji mzoefu
Kama kweli ni muuzaji mzoefu nipe bei ya hisense 55 kwa sasa na Goodvision 55
Au hata hisense 43 smart na Goodvision 43 smart. Kidogo nmepunguza heshima yangu kwako.
 
Kwa Sasa,
Tv quality kwa uimara na picha nzuri na ya mtu asiye na uchumi mkubwa

Ni GOODVISION

Changamoto Yao:
Size ya vioo kwa baadhi ya size wanapunja mno

Mfano:
[emoji117]inchi 42 ya goodvision,
Kiuhalisia ukiipima Ni nchi 40

[emoji117]Inch 43 ya goodvision,
Kiuhalisia ukiipima Ni nchi 42

[emoji117]Nch 32 Hii imetimia

[emoji117]Nchi 25 ya goodvision
Kiuhalisia ukiipima Ni nchi 24

[emoji117]Nchi 24 ya goodvision
Kiuhalisia Ni nchi 22

Hizi nyingine ndogo ndogo zote wameiba nchi 2 kila tv
 
55 hisense kwa sasa ina range 1,550,000 had 1,600,000 inategemea
Wakat soyi ambae ndio Goodvision kwa sasa had 1,150,000 unapata au chini ya hapo. So ni vizur ukamwambia mshikaji ukweli

Kingine kusema tv za hisense znapatikana kwa wingi ni uongo

32 smart, 43 smart, 50, 55, 58, 65 hizi kupata ni mtihani sanaaa japo znapatikana kwa uchache ila bei kubwa. So mwambie ukweli kama ana hela aongeze ila sio kumdanganya aongeze 30 had 50
 
Kama kweli ni muuzaji mzoefu nipe bei ya hisense 55 kwa sasa na Goodvision 55
Au hata hisense 43 smart na Goodvision 43 smart. Kidogo nmepunguza heshima yangu kwako.
Bei hizo Apo mkuu
Screenshot_20220420-181423.jpg
Screenshot_20220420-181407.jpg
Screenshot_20220420-181356.jpg
Screenshot_20220420-181344.jpg
 
55 hisense kwa sasa ina range 1,550,000 had 1,600,000 inategemea
Wakat soyi ambae ndio Goodvision kwa sasa had 1,150,000 unapata au chini ya hapo. So ni vizur ukamwambia mshikaji ukweli

Kingine kusema tv za hisense znapatikana kwa wingi ni uongo

32 smart, 43 smart, 50, 55, 58, 65 hizi kupata ni mtihani sanaaa japo znapatikana kwa uchache ila bei kubwa. So mwambie ukweli kama ana hela aongeze ila sio kumdanganya aongeze 30 had 50
Mtoa mada kaongelea alitop 32"
Ambayo Bei ya sokoni mpya Ni 270,000
Hizo nyingne unazotaja, uwezo wake haujafika hapo

wakati goodvision mpya Ni 295,000
Ambapo soyi mpya bei Yake Ni 280,000

Hata Kama wauzaji wanatofautiana vipi
Utofauti wa Bei hauwezi kuzidi elfu 20, 30 maximum 50.

Vinginevyo awe kapigwa
2022-04-20-18-25-12.jpg
2022-04-20-18-23-23.jpg
 
Mtoa mada kaongelea alitop 32"
Ambayo Bei ya sokoni mpya Ni 270,000
Hizo nyingne unazotaja, uwezo wake haujafika hapo

wakati goodvision mpya Ni 295,000
Ambapo soyi mpya bei Yake Ni 280,000

Hata Kama wauzaji wanatofautiana vipi
Utofauti wa Bei hauwezi kuzidi elfu 20, 30 maximum 50.

Vinginevyo awe kapigwaView attachment 2194415View attachment 2194416
Mkuu vipi kuhusu Aborder, wao ubora wao ukoje, na nimeona wametoa 32" smart TV, ikoje hii pia, nahitaji kuchukua hii

Asante
 
55 hisense kwa sasa ina range 1,550,000 had 1,600,000 inategemea
Wakat soyi ambae ndio Goodvision kwa sasa had 1,150,000 unapata au chini ya hapo. So ni vizur ukamwambia mshikaji ukweli

Udhaifu wa soyi na goodvision mpk Bei kua chini Ni kwamba size zilizoandikwa kwenye box hazitimii.

Ikumbukwe hizi zote zinauzwa na mkorea mmoja anaesupply hizo tv Tanzania nzima

Ambaye uyo uyo ndie anaesupply pia tv za HQ.

Mfano,
iyo nchi 55 ya soyi na goodvision,
Ukiipima kiuhalisia Ni nchi 49 na haifiki 55

Kwaiyo huwezi Sema umeuziwa Bei rahisi wakat umeuziwa Bei sawasawa kabisa na size yake kwa kampuni zinazotimiza size.

Mkorea wa goodvision na soyi Ni mhuni kwenye kucheza na box zake.

Kama kweli wee Ni muuzaji,
Nna imani kua huu uhuni wa kupunja size ushakutana nao makampuni mengi.
 
Mkuu vipi kuhusu Aborder, wao ubora wao ukoje, na nimeona wametoa 32" smart TV, ikoje hii pia, nahitaji kuchukua hii

Asante
Mazuri yao:
Kwenye uBora wa picha wako vizur,
Kwenye uimara nako hawasumbui Sana, isipokua Taa za kwenye vioo vyao (backlight) zinaungua HARAKA Kama hutumii tv guard.

Changamoto 01:
Sema Sasa tv zao haziingiliani spea yoyote na kampuni nyingine yoyote ile. Hadi vioo huwa vinazidi sentimental kadhaa mbele.

Kwaiyo tv Yao ikipata shida
Inakulazimu uwapelekee wakatengeneze wao wenyewe pale kwenye service centre zao za msimbazi na pale gerezani.

Uzur Ni kwamba wanatengeneza bure, Ila Bei ya spea na kuagiza utalipa wewe. Ambapo spea zao ziko expensive.

Changamoto 02:
Tv zao zinatoka kwa version na zote haziingiliani spea.
Mf: Kama ulinunua aborder 32" ya mwaka 2019 jua haiingiliani spea yoyote na aborder ya mwaka 2021 au 2022

Maana ake,
Kama tv yako Ni kizamani, itabidi usubiri Sana spea ije uko wanakoagiza Kama special order.
 
Ukiachana na majina,
Tv ya Bei NAFUU kwa kufuata ubora wa picha na uimara.

Chukua kampuni ya GOOD VISION au Singsung.
Ukipata BOSS pia nao wazur Sana, Bei reasonable.

Goodvision Ni kampuni Tanzu ya LG, wanaungiliana kila kitu kuanzia vioo, circuits mpk remote.

Kama ilivyo kwa Singsung kwa SAMSUNG, nao wanaingiliana vioo na circuits.

Wanatoa bidhaa zao quality Sana na Bei NAFUU mno.

Tv za good vision nmeziuza tangu 2018,
Sijawahi kukutana hata Moja kwa fundi tv zaidi ya zile za kuvunjika vioo.

NB: Siku hizi Goodvision wanatoa Double screen, kwaiyo wameimarisha sana

Tv za singsung zimetoka zaman Sana (Nadhan kwenye 2010 hv),
ila nazo utakuna nazo chache sana kwa fundi zenye matatizo ya kiufundi, Tena zile za zamani Sana miaka ya 2010-2015.

NB: Hawa hawana double screen, Ni kioo kimoja tu. Ukijichanganya umepasua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye boss umenena. Nilinunua ya kusukumia muda ila ni mwaka wa tatu inaelekea ipo fresh kabisaa
 
Kumbe WA gonjwa wengi humu.......wee umesikia wapi kuna TV inaitwa alitop kama sio China's sheet.......nunua uone inavyogeuka Chini juu juuchini ndio utakuwa umejifunza
 
Back
Top Bottom