Mgimilamaganga
JF-Expert Member
- Mar 31, 2019
- 271
- 260
Cheti tayari ninacho.Ninachohitaji ni kuongeza somo la Biology kwenye cheti changu japo nilishafanya masomo 10.Somo moja wanaruhusu, ila uwe na uhakika wa kupata kuanzia alama C ,ukipata chini ya hapo hupati cheti.