Naomba mwenye Picha ya Marais Biden au Putin au Kagame au Waziri Mkuu wa Uingereza wakijipiga 'Selfies' katika Shughuli za Kikazi aniwekee hapa

Naomba mwenye Picha ya Marais Biden au Putin au Kagame au Waziri Mkuu wa Uingereza wakijipiga 'Selfies' katika Shughuli za Kikazi aniwekee hapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?

ANGALIZO

Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?
 
Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?

ANGALIZO

Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?
Ina maana umesahau Obama na tena selfie na lile lifimbo kabisa selfie kwa mbali🤣
 
Samia haogembei tena na haya yanatokea sasa ni Mipango chokonizi/makusudi ambayo imepangwa ili kutughafilisha vipatikane vijisababu vya kujiengua,,kwa akili ya kawaida sidhani kama amefanya Kwa Bahati mbaya?"Behind the Scene(Nyuma ya Pazia),,For This Earth is Humans Made"###HayatokeiKwaBahatiMbaya###
 
Samia haogembei tena na haya yanatokea sasa ni Mipango chokonizi/makusudi ambayo imepangwa ili kutughafilisha vipatikane vijisababu vya kujiengua,,kwa akili ya kawaida sidhani kama amefanya Kwa Bahati mbaya?"Behind the Scene(Nyuma ya Pazia),,For This Earth is Humans Made"###HayatokeiKwaBahatiMbaya###
Samahani Mkuu naizungumzia nchi ya Puerto Rico nilipo hapa na siyo huko Tanzania Kwenu ambako Rais wenu anachapa Kazi kweli kweli na sasa mnakimbizana Kiuchumi hadi na nchi za Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada na Ufaransa.
 
Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?

ANGALIZO

Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?
Subiri kwanza kwani wahusika bado hawajanijibu kama niweke au la.
 
Samahani Mkuu naizungumzia nchi ya Puerto Rico nilipo hapa na siyo huko Tanzania Kwenu ambako Rais wenu anachapa Kazi kweli kweli na sasa mnakimbizana Kiuchumi hadi na nchi za Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada na Ufaransa.
Samahani pia,,nami nazungumzia hiyo hiyo Puerto Rico kwani kuna sehemu nimetaja Tz?
 
Hapo vipi Mzee baba.
PK-8.jpg
0_JS259279863 (1).jpg
5000 (1).jpg
 
Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?

ANGALIZO

Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?
Hiyo apo obama alivyokuwa raisi
 

Attachments

  • Screenshot_20240807-122054_Chrome.jpg
    Screenshot_20240807-122054_Chrome.jpg
    413.6 KB · Views: 7
Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?

ANGALIZO

Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?
Kuna ujumbe lkn utaishia kutukanwa.
Mimi huwa nikitembea sana nchi hii huwa natamani kulia kwa life style ya Watanzania.
Watu bado wana;
1. Wanatembelea mslapa ktk mitoko
2. Watembea peku ni wengi
3. Viraka matakoni
4. Nyumba za nyasi au tembe
5. Chakula cha shida
Hilo tabasamu nikiwa rais nitalitoa wzpi
 
Samahani pia,,nami nazungumzia hiyo hiyo Puerto Rico kwani kuna sehemu nimetaja Tz?
Puerto Rico hapa tuna Rais aitwae Samia kama ulivyoandika katika ile Post yako? au umeshasahau kile ambacho ulikiandika?
 
Kuna ujumbe lkn utaishia kutukanwa.
Mimi huwa nikitembea sana nchi hii huwa natamani kulia kwa life style ya Watanzania.
Watu bado wana;
1. Wanatembelea mslapa ktk mitoko
2. Watembea peku ni wengi
3. Viraka matakoni
4. Nyumba za nyasi au tembe
5. Chakula cha shida
Hilo tabasamu nikiwa rais nitalitoa wzpi
Mkuu tafadhali tujikite zaidi katika Kuizungumzia Puerto Rico na siyo Tanzania ambayo naiona ina Maendeleo mengi tu.
 
Samahani Mkuu naizungumzia nchi ya Puerto Rico nilipo hapa na siyo huko Tanzania Kwenu ambako Rais wenu anachapa Kazi kweli kweli na sasa mnakimbizana Kiuchumi hadi na nchi za Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada na Ufaransa.
Wewe popoma acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Kama inakuuma sana Rais Samia kupiga selfie rudi kwenu Rwanda. Unajionaga una akili kumbe mpuuzi tu. Akili zako ni sawa na wale wafuasi wa Kiboko ya wachawi.
 
Back
Top Bottom