GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Yameshakuwa haya tena? Kumbe Puerto Rico hapa Rais wetu ni Samia ambaye pia ni Rais wa huko Kwenu Tanzania?Wewe popoma acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Kama inakuuma sana Rais Samia kupiga selfie rudi kwenu Rwanda. Unajionaga una akili kumbe mpuuzi tu. Akili zako ni sawa na wale wafuasi wa Kiboko ya wachawi.
Hana hatimiliki ya Hilo jina huyo unayemsemea,,,Wakina Samia Wapo wengi sanaPuerto Rico hapa tuna Rais aitwae Samia kama ulivyoandika katika ile Post yako? au umeshasahau kile ambacho ulikiandika?
Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?
ANGALIZO
Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?
We Shule ulifeli wewe,Umeulizwa Rais kupiga selfie sio watu kupiga selfie na Rais
Halafu nikiwaambia hamna Akili mnakasirika. Nimesema Picha za hawa niliowataja wakiwa katika Shughuli zao za Kikazi za Kiserikali na siyo wakiwa katika Hafla zao zingine. Hivi mnaelewa nikisema Shughuli za Kiserikali? Mtaacha lini kuwa Majuha tukuka?
Naomba Nisikujibu.We Shule ulifeli wewe,Umeulizwa Rais kupiga selfie sio watu kupiga selfie na Rais
Halaf acheni ujinga mpk wazungu wafanye kitu na sie ndo tufanye kwa iyo wazungu wakipiga selfie ingekuwa safi kwa rais kupiga nae huo ndo utumwa wa kifikra kwan lazima tuwafuate wao
Ipo mitandaoni hujaiona toka janaSelfie ya samia iko wapi?
Naona gestures za Samia zimekuchanganya.Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?
ANGALIZO
Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?
Hapo vipiHalafu nikiwaambia hamna Akili mnakasirika. Nimesema Picha za hawa niliowataja wakiwa katika Shughuli zao za Kikazi za Kiserikali na siyo wakiwa katika Hafla zao zingine. Hivi mnaelewa nikisema Shughuli za Kiserikali? Mtaacha lini kuwa Majuha tukuka?
Mkuu we unaona ma-Rais wameshika simu wanapiga selfie... hapo?
Dawa kama inamuuma,kodi yake isitumike kumsafurisha mlengwa kwenda sehemu za wananchi wenye shida lukuki,kupiga selfie.Wewe popoma acha ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Kama inakuuma sana Rais Samia kupiga selfie rudi kwenu Rwanda. Unajionaga una akili kumbe mpuuzi tu. Akili zako ni sawa na wale wafuasi wa Kiboko ya wachawi.
Iweje? Acha wivu, Dkt Samia anaupiga mwingi mpaka unamwagikaYaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni magumu huwa kila Siku wakiwa hawana Furaha halafu niende Kikazi Ziarani nijione nimemaliza na nipate muda wa Kujipiga 'Selfie' tena nikiwa Nacheka kabisa napata hata muda wa Kutizama na ku Edit Picha nikiwa katika Gari linalotembea?
ANGALIZO
Nchi niliyoitaja hapa ni ya Puerto Rico ambayo ndiyo Makazi yangu sasa Wewe jipendekeze ukutane na Dhahama Ok?