Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analo basi ukuda tu umemjaaHaya picha umewekewa, sema ulichotaka kusema
Kaa kwa kutulia wewe.Analo basi ukuda tu umemjaa
Omba kazi yakupanga hata bei mwenyekiti akiwa anaongea na wakulima kwakua wewe si washamba haya mengine huyaweziNdugu zangu Watanzania,
Sote tunafahamu kuwa Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA Mheshimiwa Halima James Mdee amefiwa na Mama yake Mzazi siku chache zilizopita. ambapo mimi binafsi nampa pole sana Mheshimiwa Mdee kwa msiba huo mzito wa kupoteza Mama yake Mzazi.Namuomba Mwenyezi Mungu amtie nguvu na moyo wa Subira wakati huu wa majonzi na huzuni.
Pia soma > TANZIA - Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Najuwa ni Msiba mzito sana tena sana kwa Mheshimiwa Dada Yangu Mh Halima Mdee. Ndio Maana tumeshuhudia viongozi wetu mbalimbali wa serikali yetu ya CCM pamoja na chama chetu pendwa cha CCM kwa unyenyekevu na upendo mkubwa wakifika msibani na kutoa pole kwa wafiwa.
Lakini sijabahatika kuona picha wala video za Mheshimiwa Mbowe akiwa msibani pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA .Nilikuwa nauliza hawajaenda msibani au wapo ila mimi ndio nimepitwa na habari hiyo?
Kama hawajaenda Msibani hususani Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine watakuwa wamefanya jambo baya sana tena sana lisilo la kibinadamu wala kiungwana .litakuwa ni jambo la kitoto sana tena sana kutohudhuria.litakuwa ni jambo litakalo onyesha namna wasivyo na utu,upendo,ukomavu wa kiakili pamoja na kujaa utoto.
Ikumbukwe au nawakumbusha ya kuwa alipofariki Mama Mzazi wa Mheshimiwa Zitto Kabwe , viongozi wengi sana wa CHADEMA hawakuhudhuria msiba ule kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Naomba nisiongee mengi. Naomba tu kupatiwa picha au hata video.View attachment 3062148
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
------
Utapata taabu sana.Ndugu zangu Watanzania,
Sote tunafahamu kuwa Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA Mheshimiwa Halima James Mdee amefiwa na Mama yake Mzazi siku chache zilizopita. ambapo mimi binafsi nampa pole sana Mheshimiwa Mdee kwa msiba huo mzito wa kupoteza Mama yake Mzazi.Namuomba Mwenyezi Mungu amtie nguvu na moyo wa Subira wakati huu wa majonzi na huzuni.
Pia soma > TANZIA - Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Najuwa ni Msiba mzito sana tena sana kwa Mheshimiwa Dada Yangu Mh Halima Mdee. Ndio Maana tumeshuhudia viongozi wetu mbalimbali wa serikali yetu ya CCM pamoja na chama chetu pendwa cha CCM kwa unyenyekevu na upendo mkubwa wakifika msibani na kutoa pole kwa wafiwa.
Lakini sijabahatika kuona picha wala video za Mheshimiwa Mbowe akiwa msibani pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA .Nilikuwa nauliza hawajaenda msibani au wapo ila mimi ndio nimepitwa na habari hiyo?
Kama hawajaenda Msibani hususani Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine watakuwa wamefanya jambo baya sana tena sana lisilo la kibinadamu wala kiungwana .litakuwa ni jambo la kitoto sana tena sana kutohudhuria.litakuwa ni jambo litakalo onyesha namna wasivyo na utu,upendo,ukomavu wa kiakili pamoja na kujaa utoto.
Ikumbukwe au nawakumbusha ya kuwa alipofariki Mama Mzazi wa Mheshimiwa Zitto Kabwe , viongozi wengi sana wa CHADEMA hawakuhudhuria msiba ule kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Naomba nisiongee mengi. Naomba tu kupatiwa picha au hata video.View attachment 3062148
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
------
Huyu kiherehere anabore!! Kujipendekeza ndokitu anajua msibani tunatafuta mapicha ili iweje? UjingaNdugu zangu Watanzania,
Sote tunafahamu kuwa Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA Mheshimiwa Halima James Mdee amefiwa na Mama yake Mzazi siku chache zilizopita. ambapo mimi binafsi nampa pole sana Mheshimiwa Mdee kwa msiba huo mzito wa kupoteza Mama yake Mzazi.Namuomba Mwenyezi Mungu amtie nguvu na moyo wa Subira wakati huu wa majonzi na huzuni.
Pia soma > TANZIA - Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Najuwa ni Msiba mzito sana tena sana kwa Mheshimiwa Dada Yangu Mh Halima Mdee. Ndio Maana tumeshuhudia viongozi wetu mbalimbali wa serikali yetu ya CCM pamoja na chama chetu pendwa cha CCM kwa unyenyekevu na upendo mkubwa wakifika msibani na kutoa pole kwa wafiwa.
Lakini sijabahatika kuona picha wala video za Mheshimiwa Mbowe akiwa msibani pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA .Nilikuwa nauliza hawajaenda msibani au wapo ila mimi ndio nimepitwa na habari hiyo?
Kama hawajaenda Msibani hususani Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine watakuwa wamefanya jambo baya sana tena sana lisilo la kibinadamu wala kiungwana .litakuwa ni jambo la kitoto sana tena sana kutohudhuria.litakuwa ni jambo litakalo onyesha namna wasivyo na utu,upendo,ukomavu wa kiakili pamoja na kujaa utoto.
Ikumbukwe au nawakumbusha ya kuwa alipofariki Mama Mzazi wa Mheshimiwa Zitto Kabwe , viongozi wengi sana wa CHADEMA hawakuhudhuria msiba ule kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Naomba nisiongee mengi. Naomba tu kupatiwa picha au hata video.View attachment 3062148
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
------
Ndezi tu wewe mlugalugaKaa kwa kutulia wewe.
Ndugu zangu Watanzania,
Sote tunafahamu kuwa Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA Mheshimiwa Halima James Mdee amefiwa na Mama yake Mzazi siku chache zilizopita. ambapo mimi binafsi nampa pole sana Mheshimiwa Mdee kwa msiba huo mzito wa kupoteza Mama yake Mzazi.Namuomba Mwenyezi Mungu amtie nguvu na moyo wa Subira wakati huu wa majonzi na huzuni.
Pia soma > TANZIA - Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Najuwa ni Msiba mzito sana tena sana kwa Mheshimiwa Dada Yangu Mh Halima Mdee. Ndio Maana tumeshuhudia viongozi wetu mbalimbali wa serikali yetu ya CCM pamoja na chama chetu pendwa cha CCM kwa unyenyekevu na upendo mkubwa wakifika msibani na kutoa pole kwa wafiwa.
Lakini sijabahatika kuona picha wala video za Mheshimiwa Mbowe akiwa msibani pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA .Nilikuwa nauliza hawajaenda msibani au wapo ila mimi ndio nimepitwa na habari hiyo?
Kama hawajaenda Msibani hususani Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine watakuwa wamefanya jambo baya sana tena sana lisilo la kibinadamu wala kiungwana .litakuwa ni jambo la kitoto sana tena sana kutohudhuria.litakuwa ni jambo litakalo onyesha namna wasivyo na utu,upendo,ukomavu wa kiakili pamoja na kujaa utoto.
Ikumbukwe au nawakumbusha ya kuwa alipofariki Mama Mzazi wa Mheshimiwa Zitto Kabwe , viongozi wengi sana wa CHADEMA hawakuhudhuria msiba ule kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Naomba nisiongee mengi. Naomba tu kupatiwa picha au hata video.View attachment 3062148
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
------
Nisome nini kamarada chawa?Soma tena andiko langu na siyo kukurupuka kama kuku aliyetoka kutaga 😃😃😃 .
Shemeji yako unamuita mlugaluga🤔Ndezi tu wewe mlugaluga
nani alikuambia lucas ni wa kiume?Tabia ya umbeya kwa mtoto wa kiume haijakaa vizuri utakuja vishwa deraa shauri yako.
Ndugu zangu Watanzania,
Sote tunafahamu kuwa Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA Mheshimiwa Halima James Mdee amefiwa na Mama yake Mzazi siku chache zilizopita. ambapo mimi binafsi nampa pole sana Mheshimiwa Mdee kwa msiba huo mzito wa kupoteza Mama yake Mzazi.Namuomba Mwenyezi Mungu amtie nguvu na moyo wa Subira wakati huu wa majonzi na huzuni.
Pia soma > TANZIA - Mama mzazi wa Halima Mdee afariki dunia
Najuwa ni Msiba mzito sana tena sana kwa Mheshimiwa Dada Yangu Mh Halima Mdee. Ndio Maana tumeshuhudia viongozi wetu mbalimbali wa serikali yetu ya CCM pamoja na chama chetu pendwa cha CCM kwa unyenyekevu na upendo mkubwa wakifika msibani na kutoa pole kwa wafiwa.
Lakini sijabahatika kuona picha wala video za Mheshimiwa Mbowe akiwa msibani pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA .Nilikuwa nauliza hawajaenda msibani au wapo ila mimi ndio nimepitwa na habari hiyo?
Kama hawajaenda Msibani hususani Mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine watakuwa wamefanya jambo baya sana tena sana lisilo la kibinadamu wala kiungwana .litakuwa ni jambo la kitoto sana tena sana kutohudhuria.litakuwa ni jambo litakalo onyesha namna wasivyo na utu,upendo,ukomavu wa kiakili pamoja na kujaa utoto.
Ikumbukwe au nawakumbusha ya kuwa alipofariki Mama Mzazi wa Mheshimiwa Zitto Kabwe , viongozi wengi sana wa CHADEMA hawakuhudhuria msiba ule kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.
Naomba nisiongee mengi. Naomba tu kupatiwa picha au hata video.View attachment 3062148
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
------
Hahahahhaah hajafa banaaMsiba siyo Mradi, endeleeni kutunza maiti ili mupate pesa
Aibu nimeona mimiFreeman Mbowe Ahudhuria Ibada ya Mazishi ya Mama yake Halima Mdee
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo 05/08/2024 Amehudhuria ibada ya kuaga mwili wa Mama Theresia, ambaye ni Mama Mzazi wa Halima Mdee, aliyewahi kuwa mbunge wa Chadema kabla ya kuvuliwa uanachama kwa makosa ya Aibu ya Usaliti. Kwa sasa Halima Mdee hana chama ila ni Mbunge wa viti maalum...www.jamiiforums.com
Inaonesha umeumia sana ulivosikia neno mumeAcha ujinga wako na utoto wako wakijinga jinga kama Levi la gongo. Nimesema weka picha ya Mbowe halafu wewe unaleta utoto wako hapa.
Nimeshaipata. Bado unahitaji nikutumie?Mbowe anahusika vipi hapo kwenye msiba au chadema for that matter?
Kwani Msigwa na Jobo wakienda hawatoshi?