Naomba mwenyeji MMU

Naomba mwenyeji MMU

Karibu sana. Jinsia muhimu ili tujue namna ya kukiadress kwenye mijadala

Baada ya kusema hayo.naomba Asprin akukague uzuri kisha faili lako litanifikia. mwekundu na Mr Rocky watalukabidhi katiba ya chama.
atoto na Honey Faith njooni mumkaribishe mwenzenu.

Orayt..... Hot Pare kam zis wei kwa ukaguzi. Njoo without kabisa ili tusipoteze muda....
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana. Jinsia muhimu ili tujue namna ya kukiadress kwenye mijadala

Baada ya kusema hayo.naomba Asprin akukague uzuri kisha faili lako litanifikia. mwekundu na Mr Rocky watalukabidhi katiba ya chama.
atoto na Honey Faith njooni mumkaribishe mwenzenu.
Kaizer huyo Asprin akishamkagua mgeni huwa hafai tena kwa supu wala kulumngia bana kwa nini usingemleta kwetu direct kabla hajaenda kwa huyo babu Asprin aise au unasemaje mwekundu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom