Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,545
Muhongo Muongo Usimuamini
aisee nashukuru mkuu ila kama ina maana nyingine pia nifahamishe mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhongo Muongo Usimuamini
aisee nashukuru mkuu ila kama ina maana nyingine pia nifahamishe mkuu
Mapenzi
Mahusiano
Urafiki
nashukuru mkuu,kama kuna nyingine nifahamishe pia mkuu
PM hutumika kuman sha private message!
Yaani mawasiliano ya binafsi, sio hadharani kt yako na member mwingine!
Karibu sana. Jinsia muhimu ili tujue namna ya kukiadress kwenye mijadala
Baada ya kusema hayo.naomba Asprin akukague uzuri kisha faili lako litanifikia. mwekundu na Mr Rocky watalukabidhi katiba ya chama.
atoto na Honey Faith njooni mumkaribishe mwenzenu.
Sikumbuki kama nlishakukagua wewe. Hebu kam zis wei chapchap sana nijiridhishe. Njoo wizaut...
Hahahahahahaaaaaaaa!!!!!!
Ikiwa uko tayari tukaguane itakua poa!!!!!!!
Hili nalo neno.... haya njoo chapchap sana......
Hili nalo neno.... haya njoo chapchap sana......
Karibu but ukae mbali na secret lover wangu
Kumbe wageni tupo wengi ! acha nami niengeze ufahamu.
Kaizer huyo Asprin akishamkagua mgeni huwa hafai tena kwa supu wala kulumngia bana kwa nini usingemleta kwetu direct kabla hajaenda kwa huyo babu Asprin aise au unasemaje mwekunduKaribu sana. Jinsia muhimu ili tujue namna ya kukiadress kwenye mijadala
Baada ya kusema hayo.naomba Asprin akukague uzuri kisha faili lako litanifikia. mwekundu na Mr Rocky watalukabidhi katiba ya chama.
atoto na Honey Faith njooni mumkaribishe mwenzenu.