Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mimi ni mwenyeji ila sipo huko kwa sasa...ila naweza saidia vile nitaweza...nimeku-dm imekataa.Naomba mwenyeji wa Sumbawanga, mwelewa na mwaminifu anayejua na awe
Mzaliwa wa huko .
Pili hata kama so mzaliwa awe tu mwelewa na sehemu za hukoo
Baada ya hapo natumai tutakuwa tumebakiwa na agenda moja tu nayo ni "MENGINEYO". Itakuwa vyema kupata yaliyojili MBEYA & SUMBAWANGA.Naomba mwenyeji wa Sumbawanga, mwelewa na mwaminifu anayejua na awe
Mzaliwa wa huko .
Pili hata kama so mzaliwa awe tu mwelewa na sehemu za hukoo
..."mwaminifu anayejua"..Naomba mwenyeji wa Sumbawanga, mwelewa na mwaminifu anayejua na awe
Mzaliwa wa huko .
Pili hata kama so mzaliwa awe tu mwelewa na sehemu za hukoo
Anayejua mji vizuri..."mwaminifu anayejua"..
Mkuu, hapo umemaanisha ANAYEJUA nini? Anayejua Sumbawanga na viunga vyake au anayejua nini? Hebu kuwa specific atleast for once.. [emoji1]
Kidogoo SasaCarrasco putin umeisha, tuendelee tu kupiga selfie
Acha ukatili, huo unafanya unyanyasaji wa kijinsia ya kiume.. Carrasco putin tuandamane bana, haiwezekani unyanyasike na mie dugu yako nipoKidogoo Sasa
Acha matani bahna nashida zangu nyingineAcha ukatili, huo unafanya unyanyasaji wa kijinsia ya kiume.. Carrasco putin tuandamane bana, haiwezekani unyanyasike na mie dugu yako nipo
Sio lazima je wewe ndio huo msaada??Unataka ufikie kwake?
Mimi hapa mwenyeji wa Sumbawanga na mzaliwa wa huku naweza kukusaidia kwa jambo unalotaka kujuaMmekuwa kimya sana
Ndio wa huko au nani??Mcheki huyu jamaa 0693795103.
Ndio wa huko au nani??
Wa huko ndio mcheki.Ndio wa huko au nani??