Delly Mandah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 391
- 194
habarin ndg zangun,,,ni mda mrefu sana,,nimetaman kufanya biashara ya dhahabu,,ila muda nilikuwa nakosa,,kutokana na majukumu,,,sasa nina muda wa kufanya hiyo biashara,,naomba kuelimishwa,,1.mzigo unapatikana wap?2.soko lake
likoje,,nawasilisha,, kwa Maon yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
likoje,,nawasilisha,, kwa Maon yenu
Sent using Jamii Forums mobile app