Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu hoja, Mkuu. Majibu tafadhali.Kama hata Lisu alililia kwenda kuhiji kwenye kaburi la Magufuli basi ni swala la muda tu nyumbu watafika pale.
Namba zao tafadhali.
0713800800Namba zao tafadhali.
Ahsante kwa Mwongozo. Nikifika Mwanza chato inapatikana Wilaya/ Halmashauri gani?Nenda chato, ukifika pale utapata utaratibu kutokea ofisi (nimeisahau) flani pale halmashauri
Namba zao tafadhali.
Thanks.0713800800
Legends are neither die nor forgotten.Gone, forgotten! Over
Unahiji kwa imani gani? Kama si kwa imani yoyote, basi ondoa neno 'kuhijiKama ambavyo nilishajisemea kwamba, lazima kuna siku katika maisha yangu nitakwenda kuhiji kwenye Kaburi la Mwamba wa Afrika, JPM, sasa naomba utaratibu wa kwenda huko.
Nawasilisha.
Legends are neither die nor forgotten.
Ndugu zangu wana sehemu yao na Mwamba(JPM) ana sehemu yake.Acha ujinga wewe,huna ndugu zako wa maana waliokufa mpaka uende kwa uyo??jengea hata kaburi moja LA babu au bibi zako upate baraka.
Kwa imani ya Dini yangu.Unahiji kwa imani gani? Kama si kwa imani yoyote, basi ondoa neno 'kuhiji