Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifika Mwanza kutokea Geita, panda magari ya kwenda Mpanda/Katavi...😶Ahsante kwa Mwongozo. Nikifika Mwanza chato inapatikana Wilaya/ Halmashauri gani?
Labda niruhusiwe na kunya kaburini ndiyo naweza kupoteza muda kuingia humo kaburiniKama ambavyo nilishajisemea kwamba, lazima kuna siku katika maisha yangu nitakwenda kuhiji kwenye Kaburi la Mwamba wa Afrika, JPM, sasa naomba utaratibu wa kwenda huko.
Nawasilisha.
Nashukuru kwa Mwongozo.Ukifika mwanza stendi ya Nyegezi kuna magari ya kwenda Chato, ila magari mengi sana ya kwenda Chato utayapata kwenye stendi ya Nyamhongolo.
Nashukuru kwa Mwongozo.Ukifika Mwanza kutokea Geita, panda magari ya kwenda Mpanda/Katavi...😶
Mwamba amegoma kufutika kwenye mioyo ya Watanzania wazalendo.Watu hasira Sana humu, legacy ya mwamba JPM imegoma kutoweka!
Subiri 2025 jina lake likavyoibuka tena!
basi mwongozo ni kukata tiketi tu na kwendaKwa imani ya Dini yangu.
Hii ni kwa ajili ya wananchi wote wazalendo. Povu rukhsaKama ambavyo nilishajisemea kwamba, lazima kuna siku katika maisha yangu nitakwenda kuhiji kwenye Kaburi la Mwamba wa Afrika, JPM, sasa naomba utaratibu wa kwenda huko.
Nawasilisha.
Jikite kwenye hojaKama hata Lisu alililia kwenda kuhiji kwenye kaburi la Magufuli basi ni swala la muda tu nyumbu watafika pale.