Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,918
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini hotuba mbalimbali na watu mbalimbali wakiongea, Mfano ni leo bungeni kuna kamjamaa kalikuwa naona kanawasilisha mambo ya utumishi. Sasa hicho kiswahili kilinishinda nimeamua kubadilisha channel!!
THELATHINI------SELASINI
TATHMINI---------TASMINI
KURIDHIKA--------KURIZIKA
MARIDHAWA-----MARIZAWA
TAFADHALI---- TAFAZALI
Na mengine mengi ya jinsi hiyo. Sasa naomba waswahili wa kiswahili sanifu ambacho ninategemea kitumike bungeni lakini hata watu wakubwa serikalini wanachakachua!!! Hii ni mifano hai ni namna gani watu wamechoka na we do not care!!!!! hata kutamka!!!! Unless BAKITA walishaidhinisha kuwa hayo maneno yanaweza kutumika mbadala. NAOMBA MUONGOZO!!!!
THELATHINI------SELASINI
TATHMINI---------TASMINI
KURIDHIKA--------KURIZIKA
MARIDHAWA-----MARIZAWA
TAFADHALI---- TAFAZALI
Na mengine mengi ya jinsi hiyo. Sasa naomba waswahili wa kiswahili sanifu ambacho ninategemea kitumike bungeni lakini hata watu wakubwa serikalini wanachakachua!!! Hii ni mifano hai ni namna gani watu wamechoka na we do not care!!!!! hata kutamka!!!! Unless BAKITA walishaidhinisha kuwa hayo maneno yanaweza kutumika mbadala. NAOMBA MUONGOZO!!!!