Naomba nielekezwe

Naomba nielekezwe

Kuanzia jina mbaka e mali vyote ni fake tunatumia....., mwenzangu kwa msistizo umeweka mbaka profile OG, ukaona haitoshi ukapost mbaka pic zaidi ya moja ili upate like nyingi OR ili tukutambue zaidi......?, sema usijari maana tuna like zote pic asa hivi 😉😉😉😉
 
Duh!
Mzee baba naona umeamua kutupia na picha kabisa.
Huku si fb wala insta,ushauri tu toa hizo picha aiseh!

Karibu jf
 
Kuna mtu anatumia avatar yako nikajua umebadili I'd
Minda mambo,siku moja akawa anagombana na demis nikajua ni ushimen,nkasema ushimen leo mdomo umekua waz kias hiki mpaka anagombana na watu[emoji23] kuangalia vizur kumbe anaitwa minda mambo cjui
 
Minda mambo,siku moja akawa anagombana na demis nikajua ni ushimen,nkasema ushimen leo mdomo umekua waz kias hiki mpaka anagombana na watu[emoji23] kuangalia vizur kumbe anaitwa minda mambo cjui
Huyo huyo mwenyewe aliniquote ujinga ujinga nikamuuliza kaka umebadili I'd nikashangaa ushimen toka lini akawa ana mdomo mchafu hivi
 
Back
Top Bottom