goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Tutampa ban mapema wiki hii. [emoji4]Akishazoea ataelewa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutampa ban mapema wiki hii. [emoji4]Akishazoea ataelewa tu
Ma mndenyi ambony maeEti mwanangu hivi naweza kupata shamba la kulima vitunguu huku iringa?
Wewe utambembenda mtoto wa watu....Mbona mi huniiti?
[emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83]Sawa sawa,
Sina uhakika kama ulizaliwa unaijua JF.
Ni kujitia ujanja tu
Vibenten ndo habar ya mjjniWewe utambembenda mtoto wa watu....
Vingine havifai, havijakomaa akili, vitakuumbua.Vibenten ndo habar ya mjjni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vingine havifai, havijakomaa akili, vitakuumbua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti mwanangu hivi naweza kupata shamba la kulima vitunguu huku iringa?
Kuna mtu anatumia avatar yako nikajua umebadili I'dKaribu sana kijana, naona umefanana sana na mama..... tehtehh[emoji12] basi nikutaadharishe tu uwe makini na mabazazi humu jukwaani.
Nishukuru nimekupigia pande...Vibenten ndo habar ya mjjni
Minda mambo,siku moja akawa anagombana na demis nikajua ni ushimen,nkasema ushimen leo mdomo umekua waz kias hiki mpaka anagombana na watu[emoji23] kuangalia vizur kumbe anaitwa minda mambo cjuiKuna mtu anatumia avatar yako nikajua umebadili I'd
[emoji23]Nishukuru nimekupigia pande...
Huyo huyo mwenyewe aliniquote ujinga ujinga nikamuuliza kaka umebadili I'd nikashangaa ushimen toka lini akawa ana mdomo mchafu hiviMinda mambo,siku moja akawa anagombana na demis nikajua ni ushimen,nkasema ushimen leo mdomo umekua waz kias hiki mpaka anagombana na watu[emoji23] kuangalia vizur kumbe anaitwa minda mambo cjui
Sijabadili ID mkuu, huyo anae itumia avatar yangu pia nimemuona. But nimesha report kwa moderators ili achukuliwe hatua za kinidhamuKuna mtu anatumia avatar yako nikajua umebadili I'd
Asante sana aliniquote ujinga nilishangaa sana toka lini mm na weweSijabadili ID mkuu, huyo anae itumia avatar yangu pia nimemuona. But nimesha report kwa moderators ili achukuliwe hatua za kinidhamu