Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Naomba nieleweshwe kabisa maana leo wakati nipo na washikaji tunapiga story nikaambiwa na hawa watu wakristo ya kwamba hata kama mtu amefanya mabaya sana kama vile amefanya mauaji kama yale ya akina ben saa nane,azory gwanda na akwalina au yale mauaji ya zanzibar akiombewa kwa sala ya toba eti haendi motoni eti kisa ameaaidiwa sala ya toba nikashituka how and why?
Naomba mnieleweshe wakuu how and why?!!!!!!!!!!!!! Naombeni majibu
Naomba mnieleweshe wakuu how and why?!!!!!!!!!!!!! Naombeni majibu