Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Bado najiuliza Wakuu wala sipati jibu kabisa na linaniumiza Sana naombeni mnipe ufafanuzi kabisa shida nini? Ni mafundisho ya hiyo dini yao? Au dini yao ina kauongo Fulani?
Kuna mikoa Fulani yaani Kama mbeya kuchunana ngozi ni wao, Mauaji ya vikongwe ni shinyanga, na Mauaji ya maalbino lmaeneo Kama shinyanga,simiyu na maeneo mengine ila kuna Ile dini Fulani wao wanasifika na mikoa kwa vitendo vya ushoga na umalaya aisee
Kuna mikoa Fulani yaani Kama mbeya kuchunana ngozi ni wao, Mauaji ya vikongwe ni shinyanga, na Mauaji ya maalbino lmaeneo Kama shinyanga,simiyu na maeneo mengine ila kuna Ile dini Fulani wao wanasifika na mikoa kwa vitendo vya ushoga na umalaya aisee