Naomba nielweshwe! Hivi kwanini mkoa ambayo Kuna dini Fulani Kuna vitendo vya ukatili? Mauaji wa albino,vikongwe n. K?

Naomba nielweshwe! Hivi kwanini mkoa ambayo Kuna dini Fulani Kuna vitendo vya ukatili? Mauaji wa albino,vikongwe n. K?

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Bado najiuliza Wakuu wala sipati jibu kabisa na linaniumiza Sana naombeni mnipe ufafanuzi kabisa shida nini? Ni mafundisho ya hiyo dini yao? Au dini yao ina kauongo Fulani?

Kuna mikoa Fulani yaani Kama mbeya kuchunana ngozi ni wao, Mauaji ya vikongwe ni shinyanga, na Mauaji ya maalbino lmaeneo Kama shinyanga,simiyu na maeneo mengine ila kuna Ile dini Fulani wao wanasifika na mikoa kwa vitendo vya ushoga na umalaya aisee
 
Bado najiuliza Wakuu wala sipati jibu kabisa na linaniumiza Sana naombeni mnipe ufafanuzi kabisa shida nini? Ni mafundisho ya hiyo dini yao? Au dini yao ina kauongo Fulani?

Kuna mikoa Fulani yaani Kama mbeya kuchunana ngozi ni wao, Mauaji ya vikongwe ni shinyanga, na Mauaji ya maalbino lmaeneo Kama shinyanga,simiyu na maeneo mengine ila kuna Ile dini Fulani wao wanasifika na mikoa kwa vitendo vya ushoga na umalaya aisee
UHALIFU HAUNA DINI ?.BALI IMANI ZA KISHIRIKINA NDIO UNAONGEZA UHALIFU.
WE SHEIK MJINGA USIJIFICHE .NENDA KIGOMA UKAJIONEE KAMA UMEFICHA UDINI WAKO
 
Bado najiuliza Wakuu wala sipati jibu kabisa na linaniumiza Sana naombeni mnipe ufafanuzi kabisa shida nini? Ni mafundisho ya hiyo dini yao? Au dini yao ina kauongo Fulani?

Kuna mikoa Fulani yaani Kama mbeya kuchunana ngozi ni wao, Mauaji ya vikongwe ni shinyanga, na Mauaji ya maalbino lmaeneo Kama shinyanga,simiyu na maeneo mengine ila kuna Ile dini Fulani wao wanasifika na mikoa kwa vitendo vya ushoga na umalaya aisee
Vitendo vya ushirikina vimejaa Tanzania nzima hasa maeneo ambayo elimu iko chini. Ni tatizo la kitaifa na uongozi wetu mbovu ndiyo chanzo.
 
Ukweli ni huu , mikoa ya bara yaani aina ya ushirikina wao ni wa kutafuta mali haswa kweny migodi ndio wanafanya vitendo hivyo ili kupata mali ...Wenyewe wanawezekana hawahusiki hili suala miaka ya nyuma kuna wazungu walishikiliwa huko Mererani kwa kuwaua watoto wakishirikiana na vijana wachimbaji ili madini yatoke .


Kufautilia takwimu za mikoa ya watu wanaotumia sana uchawi , nakumbuka Mshana Jr alileta Takwimu humu ..Mimi binafs nilienda Handeni kuna mzee anaishi sehemu inaitwa kisiwa tena ana asili kama ya umasai , nilimuuliza wateja wake akasema ''Watu wakubwa wa serikalini tena sio wa mikoa ya pwani ni mbali huko , maana wengi ni wafanyabiashara mpaka kenya ,uganda wanakuja ''

Ishu za matendo ya ushoga yameletwa na wageni haswa sehemu zenye utalii , biashara kubwa ...Pia kuna watu wanazaliwa na hormone imbalance huu ni ugonjwa kama wengine ....Kuna jamii zeny ugonjwa wa sickle cell haswa waarabu nenda Zenji utaona huo ugonjwa .

Usihukumu , maana unaweza kuwahesabu wafanya vitendo hivyo wakawa sio wakazi wa eneo hilo .​
 
Ni Tanzania nzima. Kima eneo lina matatizo.
IMG-20240621-WA0049.jpg


Wahi uje ujipatie bureeee
 
Kwanini Mikoa flani ya pwani ushaga mwingi sana...jibu nawewe
Wanakula vitu vya ughaibuni ambavyo vina husiana na chemikali nyingisana zinazoshushu homon za kiume na kuleta madhara .na pia ni mtazamo na ushawishi wa wageni .Mtu kaja na m range anaomba kijana nyapu kwa mara moja na akaahidiwa kuwa na life super anaona bora autoe kumbe pasina kujua anaharibika kisaikorojia.
Kiufupi ni hivyo na kwa maelezo zaidi wasiliana na Dokta na agent wa tiba za vifaa vya kielekronics kupitia simu namba 0685237039
 
Bado najiuliza Wakuu wala sipati jibu kabisa na linaniumiza Sana naombeni mnipe ufafanuzi kabisa shida nini? Ni mafundisho ya hiyo dini yao? Au dini yao ina kauongo Fulani?

Kuna mikoa Fulani yaani Kama mbeya kuchunana ngozi ni wao, Mauaji ya vikongwe ni shinyanga, na Mauaji ya maalbino lmaeneo Kama shinyanga,simiyu na maeneo mengine ila kuna Ile dini Fulani wao wanasifika na mikoa kwa vitendo vya ushoga na umalaya aisee
Utaje hiyo dini tukuelewe vinginevyo huo ni uzi chochezi
 
Back
Top Bottom