Naomba nijibiwe swali langu. Mtaala mpya wa elimu somo la dini

Naomba nijibiwe swali langu. Mtaala mpya wa elimu somo la dini

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Naomba nijibiwe maswali yangu kuhusu huu mtaala mpya wa elimu.

Jedwali na.4: Somo, umahiri mkuu na umahiri mahususi kwa darasa la iii hadi la vi.

Kipengele na:
8. Elimu ya Dini Itatolewa na viongozi wa dini inayohusika kwa kuzingatia mwongozo utakaotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

. Hili somo la dini litahusisha mafunzo ya dini gani kwa wanafunzi ?

. Utaratibu gani utatumika kwa wanafunzi wasio na dini kuto kushiriki mafunzo hayo kwa kuzingatia uhuru wao kama ulivyo elezwa na katiba ya jamhuri ya muungano ?

. Uandikishaji wa kipengele hiki ulizangatia matakwa ya katiba ya jamhuri ya muungano ?
Uhuru wa mtu kuamini dini atakayo Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 Sheria ya 1992 Na.4 ib… 19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.
 
Simple logic!

Wanafunzi wa dini kubwa zinazofuatwa hapa kwetu watafundishwa na walimu watakaopendekezwa,wale wasiokuwa na dini huo muda wenzao wanakula pindi wataachwa kufanya yatakayowafaa.

Ama kwa dini zisizokuwa na wafuasi wengi?nadhani nao watakuwa na option hiyo hiyo kama idadi yao itatosha kuitwa darasa nao watafundishwa na mwalimu teuliwa lah hawatoshi nao watafanya mengine.
 
Simple logic!

Wanafunzi wa dini kubwa zinazofuatwa hapa kwetu watafundishwa na walimu watakaopendekezwa,wale wasiokuwa na dini huo muda wenzao wanakula pindi wataachwa kufanya yatakayowafaa.

Ama kwa dini zisizokuwa na wafuasi wengi?nadhani nao watakuwa na option hiyo hiyo kama idadi yao itatosha kuitwa darasa nao watafundishwa na mwalimu teuliwa lah hawatoshi nao watafanya mengine.
Unadhani
 
Naomba nijibiwe maswali yangu kuhusu huu mtaala mpya wa elimu.

Jedwali na.4: Somo, umahiri mkuu na umahiri mahususi kwa darasa la iii hadi la vi.

Kipengele na:
8. Elimu ya Dini Itatolewa na viongozi wa dini inayohusika kwa kuzingatia mwongozo utakaotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

. Hili somo la dini litahusisha mafunzo ya dini gani kwa wanafunzi ?

. Utaratibu gani utatumika kwa wanafunzi wasio na dini kuto kushiriki mafunzo hayo kwa kuzingatia uhuru wao kama ulivyo elezwa na katiba ya jamhuri ya muungano ?

. Uandikishaji wa kipengele hiki ulizangatia matakwa ya katiba ya jamhuri ya muungano ?
Uhuru wa mtu kuamini dini atakayo Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 Sheria ya 1992 Na.4 ib… 19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.
Si ungesoma mwongozo kwanza Bro kabla ya kusambaza matusi? Amri za Mungu 10 alipewa Musa kwenye Mlima Sinai (sasa hivi sehemu ya Ukanda wa Gaza), amri ya 2 inasema USILITAJETAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO. Na kwenye Katiba ya Tanzania hivyo hivyo: iheshimu usiitajetaje bure. Inavyoonekana naona wewe ni katika wasioukuwa na Dini tuliwahesabu sensa ya mwaka 1967 tukakuta ni asilimia 35% ya Watanzania, yaani ni minority hamfiki hata nusu. Subiri Waraka wa Serkali, kama bado kuna kitu huelewi muulize Mbunge wako Idd Zungu.
 
Si ungesoma mwongozo kwanza Bro kabla ya kusambaza matusi? Amri za Mungu 10 alipewa Musa kwenye Mlima Sinai (sasa hivi sehemu ya Ukanda wa Gaza), amri ya 2 inasema USILITAJETAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO. Na kwenye Katiba ya Tanzania hivyo hivyo: iheshimu usiitajetaje bure. Inavyoonekana naona wewe ni katika wasioukuwa na Dini tuliwahesabu sensa ya mwaka 1967 tukakuta ni asilimia 35% ya Watanzania, yaani ni minority hamfiki hata nusu. Subiri Waraka wa Serkali, kama bado kuna kitu huelewi muulize Mbunge wako Idd Zungu.
Wahi hospitali
 
Watoto wetu kuletewa mtaara mpya wa elimu lakini pia elimu ya dini kuwa sehemu ya masomo mashuleni

tuta kuwa bado tuna utukuza na kuu abudu ujinga tulio letewa na wakoloni

na tunaendelea kuviandaa vizazi vyetu kutawaliwa kwa mgongo wa dini isiyo asiri yetu huko mbeleni

Lakini pia tutakuwa tuna ruhusu tamadunizetu za asiri kumezwa na tamaduni za kigeni zilizo wai kutu umiza na zinaendelea kutu umiza mpaka leo tangu vizazi na vizazi
 
Vichwa maji bhana utawajua tu,wengi wenu mnajificha nyuma ya keyboard kukataa Islamic knowledge eti kisa chuki zenu dhidi ya uislamu!
 
Nimecheka kusoma kipengele kinachodai hao walimu wa dini ya kiislamu sharti waajiliwe na serikali.
Yaani serikali hii inayoshindwa kuajiri walimu wa masomo ya sayansi leo inatakiwa iajiri walimu wa dini. Ngoja tuone haya maajabu ya Mkenda.
Mzee masheikh wanatafutiwa kazi Angalau na wao wafundishe mashuleni sio misikitini..

Si unajua pesa ndogo madrasa sasa hivi watakula pesa ya kutosha kila mwezi Naamini watafurahi sana..Maalimu
 
Nimecheka kusoma kipengele kinachodai hao walimu wa dini ya kiislamu sharti waajiliwe na serikali.
Yaani serikali hii inayoshindwa kuajiri walimu wa masomo ya sayansi leo inatakiwa iajiri walimu wa dini. Ngoja tuone haya maajabu ya Mkenda.
Mkuu mwongozo huo unasemaje kuhusu waalimu wa kufundishia Bible knowledge?
 
Naomba nijibiwe maswali yangu kuhusu huu mtaala mpya wa elimu.

Jedwali na.4: Somo, umahiri mkuu na umahiri mahususi kwa darasa la iii hadi la vi.

Kipengele na:
8. Elimu ya Dini Itatolewa na viongozi wa dini inayohusika kwa kuzingatia mwongozo utakaotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

. Hili somo la dini litahusisha mafunzo ya dini gani kwa wanafunzi ?

. Utaratibu gani utatumika kwa wanafunzi wasio na dini kuto kushiriki mafunzo hayo kwa kuzingatia uhuru wao kama ulivyo elezwa na katiba ya jamhuri ya muungano ?

. Uandikishaji wa kipengele hiki ulizangatia matakwa ya katiba ya jamhuri ya muungano ?
Uhuru wa mtu kuamini dini atakayo Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 Sheria ya 1992 Na.4 ib… 19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.
(3) Kila palipotajwa neno "dini" katika ibara hii ifahamike kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.
KOSA KUBWA KUINGIZA DINI MASHULENI ...SWALI KWANINI DINI ZISIFUNDISHWE SEHEMU HUSIKA....TUTATENGENEZA TAIFA LA WAPUMBAVU AMBAO KILA MTU ANAYE JIHITA MTUME NI MTUME KWAO ..PIA TUTATENGENEZA TAIFA LA WANAFIKI ..... NASHAURI HARAKA SANA SERIKALI IPIGE MARUFUKU MAMBO YA DINI KWENYE SHULE ZOTE ZA SERIKALI NA BINAFSI ZINAZO TOA ELIMU YA DUNIA ....IPIGE MARUFUKU VITU VYOVYOTE VYA KIDINI MASHULENI KUVALIWA KAMA HIJABU AU MISALABA...WAKO WAPUMBAVU WATANIPINGA KWA UPOFU WALIO NAO WA KUSHINDWA KUONA MBELE.
 
Simple logic!

Wanafunzi wa dini kubwa zinazofuatwa hapa kwetu watafundishwa na walimu watakaopendekezwa,wale wasiokuwa na dini huo muda wenzao wanakula pindi wataachwa kufanya yatakayowafaa.

Ama kwa dini zisizokuwa na wafuasi wengi?nadhani nao watakuwa na option hiyo hiyo kama idadi yao itatosha kuitwa darasa nao watafundishwa na mwalimu teuliwa lah hawatoshi nao watafanya mengine.
Vipi kuhusu walokole nao watakuwepo mashuleni kutoa mapepo na maji ya upako ya kina mwamwamposa[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Vichwa maji bhana utawajua tu,wengi wenu mnajificha nyuma ya keyboard kukataa Islamic knowledge eti kisa chuki zenu dhidi ya uislamu!
Hakuna anaye kataa mambo ya dini ya Islamic knowledge wala Christian knowledge,suala hapa ni kwamba kila dini lichukue jukumu kufundisha maarifa ya dini zao kwa namna Yao uko kwenye madrasa na ma-perish halls mbona rahisi tu.

Wengine ni wafuasi wa dini za Buddha, Hinduism, Africa Traditional Religion, Taoism nk na wao wakitaka mafundisho Yao uko mashuleni itakuwaje?
NB:Hii nchi sio ya wakristo na waislam,hivyo kujiona kwamba dini zao ndizo zinapawa kufundishwa ni ufinyu wa fikra.
 
Vichwa maji bhana utawajua tu,wengi wenu mnajificha nyuma ya keyboard kukataa Islamic knowledge eti kisa chuki zenu dhidi ya uislamu!
Chagua jibu sahihi, wewe ni ?
a) Chizi
b) Tahira
c) Mwendawazimu
 
Elimu ya ile diin ikianza kufundishwa shuleni tujiandae kukabiliana na Janjaweed.
 
KOSA KUBWA KUINGIZA DINI MASHULENI ...SWALI KWANINI DINI ZISIFUNDISHWE SEHEMU HUSIKA....TUTATENGENEZA TAIFA LA WAPUMBAVU AMBAO KILA MTU ANAYE JIHITA MTUME NI MTUME KWAO ..PIA TUTATENGENEZA TAIFA LA WANAFIKI ..... NASHAURI HARAKA SANA SERIKALI IPIGE MARUFUKU MAMBO YA DINI KWENYE SHULE ZOTE ZA SERIKALI NA BINAFSI ZINAZO TOA ELIMU YA DUNIA ....IPIGE MARUFUKU VITU VYOVYOTE VYA KIDINI MASHULENI KUVALIWA KAMA HIJABU AU MISALABA...WAKO WAPUMBAVU WATANIPINGA KWA UPOFU WALIO NAO WA KUSHINDWA KUONA MBELE.
Sio hilo tu unafiki wa hawa viongoz mbumbumbu na wenye roho mbaya ni kuendelea kufanya kiswahili kitumike shule za msingi wakat watoto wao wanasona english medium,haya maviongozi yana roho mbaya sana
 
Back
Top Bottom