Naomba nijue elimu za marais wetu na ufaulu wao

Naomba nijue elimu za marais wetu na ufaulu wao

Kuna vitu ukiangalia kwa jicho la kawaida kuna utofauti mkubwa sana kati ya kuongoza inchi kwa marais wetu, mfano nimebahatika kuuona utawala wa Mkapa,Kikweta,Magufuri mpaka Samia,

Niseme ukweli nilikuwa nawakubali Mkapa na Magufuli, ingawa sijui walipata division gani form four,ila nina wasiwasi na huyu mama yetu naomba mwenye matokeo yake ya kidato cha nne na cha sita atuwekee
GPA kubwa za vyuoni si kigezo cha kuwa kiongozi bora! GPA kubwa zingine ni za kukariri na kuiba mitihani!
 
Mkapa na JPM hao ndo waliokwenda darasani kikamilifu. Hawa wengine sina uhakika.
 
Hakuna uhusiano kati ya uwezo wa uongozi na papers qualifications!. Mababu zetu kama Rumanyika, Mkwawa, Mirambo, Isike, etc hawakuwa na elimu hata ya darasa moja lakini waliongoza vizuri.

Angalia uwezo wa mtu kuongoza, naomba usianze kufuatilia elimu za kwenye makaratasi!. Kitu muhimu ni IQ ya mtu na sio papers qualifications! Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Pia niliwahi kuuliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?
p
Kumbe akili huna Pascal..sikutarajia utoe jibu la aina hii.
Kwani elimu rika waliyofundishwa kina Mirambo na mafunzo ya kupigana vita, siyo elimu..unazifahamu hatua na sifa mtu kuchaguliwa kuwa chifu? Moja UJASIRI si wa maneno ni VITENDO mfano kama chifu alikuwa mzee kiasi cha kushindwa kutimiza majukumu yake kiuongozi baraza la wazee lilipaswa kuandaa kifo kwa chifu mzee sababu haikuwezekana kupata chifu mpya kama chifu mzee angali hai..na aliyetekeleza kifo cha chifu mzee ni aliyestahili kuwa chifu kutoka miongoni mwa watoto wa chifu mzee..iwe ni kumuua kwa mkuki, kumkaba vyovyote mradi tu baraza la wazee lipate taarifa chifu mzee hayupo tena duniani ili chifu mpya aapishwe haraka! Haya ndio mambo msiyoyajua Pascal ndio maana mmebaki kuushabikia ujinga wenu usiowapeleka popote! Usione chifu alivalishwa ngozi ya simba ukadhani ni vazi la urembo km mnavyoona nyinyi sasa, ilihitaji ufanye jambo la kijasiri lisilo la kawaida, mfano kuua mzazi wako(chifu mzee) ili upewe madaraka ya uchifu..hiyo yote ni elimu kumpa mtu SIFA kuwa kiongozi! Kwa hivyo hizi ni kama qualification papers za jadi unazozibeza wewe.
SIFA..
SIFA..
SIFA..!
 
Kuna vitu ukiangalia kwa jicho la kawaida kuna utofauti mkubwa sana kati ya kuongoza inchi kwa marais wetu, mfano nimebahatika kuuona utawala wa Mkapa,Kikweta,Magufuri mpaka Samia,

Niseme ukweli nilikuwa nawakubali Mkapa na Magufuli, ingawa sijui walipata division gani form four,ila nina wasiwasi na huyu mama yetu naomba mwenye matokeo yake ya kidato cha nne na cha sita atuwekee
Tuletee kwanza elimu ya baba yako na mama yako kwanza
 
Duuuh.

Naona Home of great great thinkers imeisha poteza sifa yake ya awali , yaani kufaulu vizuri elimu ya mitaala ya mkoloni ndipo tutumie kama kigezo bora cha kuongoza nchi vizuri?..😄😄😄
 
Hakuna uhusiano kati ya uwezo wa uongozi na papers qualifications!. Mababu zetu kama Rumanyika, Mkwawa, Mirambo, Isike, etc hawakuwa na elimu hata ya darasa moja lakini waliongoza vizuri.

Angalia uwezo wa mtu kuongoza, naomba usianze kufuatilia elimu za kwenye makaratasi!. Kitu muhimu ni IQ ya mtu na sio papers qualifications! Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Pia niliwahi kuuliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?
p
Kuna elimu za asili, huitaji shule kujua hili jambo sio jema katika maisha ya kawaida, Kwa mfano kuua,
 
Tumefika mbali sana kwenye hizi hojaji zetu.It's not healthy!And, it's ok but not alright!
 
Unajua kuna watu waliongoza kalibu Nusu ya dunia? Kwa kutumia elimu ya dini, jalibu kusoma stori moja ya Othoman empire, kuanzia China,Spain mpaka West Africa
Sasa bongo ni elimu inahitajika ili kupima uwezo wa mtu yaani hapa Tanzania?
 
Kuna vitu ukiangalia kwa jicho la kawaida kuna utofauti mkubwa sana kati ya kuongoza inchi kwa marais wetu, mfano nimebahatika kuuona utawala wa Mkapa,Kikweta,Magufuri mpaka Samia,

Niseme ukweli nilikuwa nawakubali Mkapa na Magufuli, ingawa sijui walipata division gani form four,ila nina wasiwasi na huyu mama yetu naomba mwenye matokeo yake ya kidato cha nne na cha sita atuwekee
CCM haina kufeli au kupasi CCM inaamini kwenye kuchaguliwa kwani watu wote ni sawa, ukiwa mwanaccm wewe tayari unaakili nyingi kuliko wasio wanaccm.
 
Back
Top Bottom